Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fact jana kocha wa france bila kumtupa matuid katikati aendeshe kiungo kipind cha pili na kante wangepigwa lakin kwetu akifanyiwa hivyo zinaanza lawama alitupwa pembeni kusaidina na pavard

Matuid atatupa shida sana champions league jana nimemuona daaa na wale viungo wa juve walivyo wagumu tuna kazi ya kufanya kwa kweli.
 
Huna heshima yeyote , wewe hebu tulia ufundishwe,

Sikukuomba unijibu ni kiherehere chako,

Huyo fred kafanya nini toka amekuja?

Hivi hujui mou aliingilia dili la pep kumtaka huyo fred? Unajua pep alitaka amtumie vip?

Huyo fred ni garasa ,ndio maana hata timu ya taifa huwa anasugua bench,

Mlaumu kocha wenu kukuleteeni garasa fred kwa paun mil 52,

Ndio yale yale ya sanchez kukurupuka ,ili kumuharibia Pep,mwishowe kalamba garasa, sanchez alishakwisha toka yupo arsenal ndio aliongoza kupoteza sana mipira,

Eti arsenal wanaonekana kwa fulham, mbona wewe hivo vitimu vidogo unapaki basi? Tena vitakugonga sana,
 
Kacheza mechi ngapi? United kuna viungo wengi sio kama wewe lazima awepo toreira timu itembee mimi nje nina mata nina herrera hao wote wanacheza namba ya fred nina scott nina pogba hao wote wanacheza hapo nina matic

So ukiangilia utoto unaofanya huna tofaut na ujinga wako wa jana kwamba tanzania anafungwa na kep vede unakop takataka unaleta jf bila kutumia akili
 
Mkuu Pigba ni liability sana, ni mchezaji ambaye atahitaji wachezaji zaidi ya mmoja kum compliment, wamfanyie baadhi ya majukumu.

Hata hivyo anaweza pata hao watu wakamfanyia hiyo kazi, ila bado hana nidhamu katika positioning, ana lack consistency na quick decision making, imagine jana goli walilofungwa france namna ukosefu wake wa nidhamu ulijidhihirisha
 
Wewe kweli nanga, Mo alimsajiri acheze ila kila akicheza bora Nyoni wa azam,

Halafu unakimbilia kwa post ya starz kufungwa,

Au hujui starz alikula 3-0?
Sasa unashangaa et starz kushinda 2-0 ,wakat unajua fika starz kaotea, unajua fika tanzania mpira bado sana,

Tunarud palepale, Fred ni garasa ,na hii ni kutokana na mpira wenu mbovu na mou kudandia wachezaji asiojua jinsi ya kuwatumia,
 
Toreira na gunduzi wana goli ngapi?

2-0 kaotea? Kweli wenger effect imepenya haupo sawa kisaikolojia unahitaj kumuona dokta mauki
 
Toreira na gunduzi wana goli ngapi?
Wewe kweli mpira hujui, nimeamini ,

Kiuongo mkabaji sio magoli ,wewe hufai kujadili mpira na mimi,

Sikutegemea uniulize swali hilo, kwa kiungo DM ,

Kante anamalizaga msimu bila goli lkn unamkuta kikosi bora cha dunia ,ulishajiuliza kwa nn?

Ngoja nikupe umuhimu wa Toreira pale arsenal

 
Dogo hapa utapata aibu fred anachezeshwa kiungo cha ulinzi hadi anafunga goli huoni faida?
 
Dogo hapa utapata aibu fred anachezeshwa kiungo cha ulinzi hadi anafunga goli huoni faida?
Yaan wewe mpira hujui ,halafu hujijui kama hujui ndio shida hiyo,

Angekuwa ana umuhimu wa kuwapa magoli ,nadhan mou asingeshindwa kumpanga kila game amuokolee kibarua,

Huyo ni garasa
 

Huyu dogo yupo vzr sana.


DM sio kazi yake kufunga kuna watu hawaelewi hilo ndio maana huwezi kukuta kocha akamsema DM kwa kutofunga hata misimu 5 angalia mtu kama Matic msimu mzima ana goli ngapi.

Ila team ikiwa inaruhusu magoli DM atakuwa na maswali ya kujibu
 
Yaan wewe mpira hujui ,halafu hujijui kama hujui ndio shida hiyo,

Angekuwa ana umuhimu wa kuwapa magoli ,nadhan mou asingeshindwa kumpanga kila game amuokolee kibarua,

Huyo ni garasa
Halafu hizo without huna watu sisi hamna hiyo kitu sijui without yani timu inahitaj mtu awepo ifanye vizur huoni kama ni uchizi
 
Ndio namueleza huyo jamaa anakomaa kwann hafungi kama fred mwenye goli moja ambaye akiwepo ndan anazurura tu, wakat akiwepo Matic timu inabalance kabisa, japo matic hafungi
 
Ndio namueleza huyo jamaa anakomaa kwann hafungi kama fred mwenye goli moja ambaye akiwepo ndan anazurura tu, wakat akiwepo Matic timu inabalance kabisa, japo matic hafungi
Yani kiungo anaekupa magoli na asiekupa goli anaumuhimu kiungo asiekupa goli huu mpira wawapi?
 
Yani kiungo anaekupa magoli na asiekupa goli anaumuhimu kiungo asiekupa goli huu mpira wawapi?
Wewe kweli nimeamin mpira huujui ila unaudandia , nimeamin mpira una siri nzito sana, angekuwa anakupa magoli kwann mou anamuacha nje ?

Nakupa mfano pale arsenal xhaka akicheza 6 anapwaya ila anakupa magoli ya rebound

Ila toreira akicheza 6 hutayaona magoli kwake ila atazuia kushambuliwa atasababisha wengine wafunge ,

Nadhan kichwa chako kitakuwa kimeanza kufunguka,
 
Dogo narudia fred usimfananishe na hizo takataka zako
 
Fred ni bonge la player sema hajazoea bado na pili kocha matatizo yake yanamfanya jamaa asiperform
 
Dogo narudia fred usimfananishe na hizo takataka zako
Kuna mwenzako humu humu alikuwa ananiita dogo ,siku akaja kushangaa natoka chumban kwa mama yake ,akaambiwa aniite babamdogo.,hivo kuwa makini maana mpira huujui

Umekazana takataka , haya huyo fred mbona anazid kuwa flop?

Nipo hapa kukufundisha mpira , inaonesha wewe ni mshangiliaji tu hujui hata majukumu ya wachezaji, kwanza nawasiwasi hata mech huangaliagi, una hela ya kuangalia mpira kwanza?
 
Fred ni bonge la player sema hajazoea bado na pili kocha matatizo yake yanamfanya jamaa asiperform
Wewe ndio umeongea point, angalau una hoja

Yule mchezaj mou alikurupuka kama kwa sanchez ,wale walikuwa plan ya pep

Yeye mou kaona kufanya hivo ndio atashindana na pep kwenye ubingwa au atampunguzia kas,
 
Fred flop? Hizi bangi za wenger hazijawaacha salama mnatakiwa mumuone dokta mauki

Unaweza ukaitwa baba mdogo kwa kuwa ni mdogo ushafumuliwa na baba mwenye nyumba inategemea taulo umelivaa kwa mtindo upi wengine huwa hamna nguo
 
Fred flop? Hizi bangi za wenger hazijawaacha salama mnatakiwa mumuone dokta mauki

Unaweza ukaitwa baba mdogo kwa kuwa ni mdogo ushafumuliwa na baba mwenye nyumba inategemea taulo umelivaa kwa mtindo upi wengine huwa hamna nguo
Mm nibaba yako mdogo ,popote ukiniona anza kuniita babamdogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…