ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,635
Hahahaa labda atuletee mbappeKocha wa monaco aje Man U atuibulie mbappe
Aje awaibue wale madogo wa academy. Kuna madogo wapo fresh pale lakin hawaonekan. Laurent Blanc pia anafaaa maana anajua pia Haiba ya Man UHahahaa labda atuletee mbappe
Sasa awe kocha wa vijanaAje awaibue wale madogo wa academy. Kuna madogo wapo fresh pale lakin hawaonekan. Laurent Blanc pia anafaaa maana anajua pia Haiba ya Man U
Kocha mwenye haiba ya LVGSasa awe kocha wa vijana
Umeongea point maaana hata ikitokea city saiv au liverpool wakaanza kuboronga; media zitaanza hoja za kwamba pep au klopp huenda kibarua akapewa mwingine. Hakuna tathmini ya kina inayofanyika kwa mou. Mi namkubali sana na ndy maana hua nasema Mou akipata wachezaji wa Calibre(haiba) yake ni kocha fundi sana. Cha muhimu tusikilizie ubunifu wake kwa mechi zinazokuja maana yupo kweny presha sana. Na jana alikua anafanya match scouting kwa yule dogo Lazio nafikir kweny mech ya sebia.ZLATAN: MOURINHO SIO MGANGA WA KIENYEJI AU MCHUNGAJI
Hakuna kitu kitu kibaya duniani kama unafiki. Kuna watu wamejicha nyuma ya kasoro ndogo ndogo za wenzao ili kuficha madhaifu yao makubwa.
Mtu anakwambia Mou anagombana na wachezaji ndio maana haendelei. Sawa. Mou ni mwanadamu kama walivyo wengine. Istoshe hakuna kocha ambaye hii dunia hajagombana na wachezaji. Fergie ndio kabisa alikuwa mkorofi kupitiliza. United imefanya vibaya baadhi ya game watu wameamua kujificha kwenye kasoro ndogo ndogo za kibinadamu ili kukwepa lawama zao kubwa kwenye uendeshaji wa timu.
Zlatan amekiri mwenyewe kuwa Mou ni kocha mwenye uwezo mkubwa wa kisoka na amelezea hisia zake juu ya United na Mou.
"Nadhani Mourinho ni kocha sahihi kabisa kwa United na anaweza kubeba EPL, shida ni kikosi chake, sio imara ni dhaifu"
.
“Kila mwalimu anafanya vizuri kutokana na timu yake. Wasitegemee Mourinho afanye miujiza. Kwa kikosi kile ni ngumu sana kupata mafanikio kwa haraka"
“Ni mwaka wake wa 3 na asilimia kubwa wachezaji wengi amewakuta, baadhi wanacheza kwa namna anavyotaka, naamini waliobakia nao watabadilika”
Haya aliyosema Zlatan kwa mtu mwenye uelewa wa kisoka yanaeleweka kabisa.
United chini ya Mou imeshinda michezo 79 na kufikisha 60% ya ushindi. Na kupoteza mara 25 amekwisha shinda mataji matatu, 2016 Ngao ya Jamii, 2017 Kombe la ligi na 2017 Europa League – amefunga mabao 231 (1.76 kwa kila mechi) na kufungwa mabao 110 (bao kila baada ya dkk 107. Amefika fainali 4 [Uefa supa, FA, kombe la ligi, Ngao ya Jamii.
Bodi imetambua makosa yao mkuu saiv wanatakiwa kufanya uwekezaj wa wachezaj ambao wataingia moja kwa moja kwenyw timu ambao ni level ya kidunia ndo mana wapo kimya wangekuwa wametupia pesa za maana kocha angeshatimuliwaUmeongea point maaana hata ikitokea city saiv au liverpool wakaanza kuboronga; media zitaanza hoja za kwamba pep au klopp huenda kibarua akapewa mwingine. Hakuna tathmini ya kina inayofanyika kwa mou. Mi namkubali sana na ndy maana hua nasema Mou akipata wachezaji wa Calibre(haiba) yake ni kocha fundi sana. Cha muhimu tusikilizie ubunifu wake kwa mechi zinazokuja maana yupo kweny presha sana. Na jana alikua anafanya match scouting kwa yule dogo Lazio nafikir kweny mech ya sebia.
Yah wameona mistake iko wapi!! Naona kuna jitihada fulan wanataka kuanza nazo kweny dirisha la January!!Bodi imetambua makosa yao mkuu saiv wanatakiwa kufanya uwekezaj wa wachezaj ambao wataingia moja kwa moja kwenyw timu ambao ni level ya kidunia ndo mana wapo kimya wangekuwa wametupia pesa za maana kocha angeshatimuliwa
Ubovu wa kocha hupimwa kwa kigezo kipi?Morinho ni mbovu..hata mkimtetea vipi..
Am too busy for this sh*tUbovu wa kocha hupimwa kwa kigezo kipi?
Sasa ulikuja kutafuta nini kama upo bize?Am too busy for this sh*t
Leo umeongea cha maana sana. Swali je?Kuna lukaku wa ubelgiji na wa manchester uinted ile yule wa ubelgij anacheza na watu waliotimia kisoka haachi kufunga tukisema timu yetu ya kawaida watu wanakataa tunaamin lingard anaweza kmfanya lukaku afunge magoli kisha tunamponda sana kwamba sio striker
Leo umeongea cha maana sana. Swali je?
Sanchez
Pogba
Hererra
Fred
nao ni wachezaji wa kawaida hadi Lukaku anaonekana sio Striker?
Pogba kiungo mkabajiLeo umeongea cha maana sana. Swali je?
Sanchez
Pogba
Hererra
Fred
nao ni wachezaji wa kawaida hadi Lukaku anaonekana sio Striker?