Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahah this is madness.. Leo hii tunalaumu legends kina Rio, Scholes n Co kisa kumkosoa Mourinho? Like Mourinho is too perfect kukosolewa or what?? Eti mtu unafikia kusema 'u-jobless' unawasumbua.?! Hahah

Hata kama tunataka kutoa support kwa Mourinho, hiyo sawa ila mwisho wa siku yeye anachangia asilimia kubwa katika hii situation iliyopo Utd.

Wakati Scholes anamkosoa Pogba huku Mourinho anamtetea tuliona sawa, ila sasa hivi akimkosoa Mourinho eti ni 'jobless' guy anapiga tarumbeta.
 
Kimsingi kweli Bodi imezingua kutompa Mourinho wachezaji anaowataka. Katika hili wanashindwa hata wao wamshike wapi Mou.

Ila tusisahau kuwa ni huyu huyu Mourinho aliwaomba wafuatao:

1. Mickhtaryan > tunajua kilichotokea.
2. Sanchez > tunajua kinachoendelea
3. Pogba > sitaki kusema kitu hapa, ni mchezaji mzuri ila kinidhamu recently ameboronga.
4. Bailly na Lindelof

Lazima tukubali kuwa sasa hivi Mou ana tatizo when it comes to 'Man Management'. Kama anashindwa kuwa manage hawa waliopo, kipi kinatuaminisha kuwa atabadilika kwa hao watakaokuja??
 
Alishasema msipofanya haya msimu huu utakuwa mgumu sana ukikaidi utapigwa tu hamna namna
 
Hata pep alisajili wakina nolito,bravo,jesus ana mbeba ila hamna kitu kupo kimya kwa kuwa anafanya poa kuna johnstone hao kwa pesa ndefu tena
 
Ukimiliki mpira na mwenzako akikuzidi utabaki katikati ya uwanja sio!
Chelsea hiyo unayoisema ilikuwa ikimiliki mpira na ikizidiwa unajenga ukuta na ndio defensive football tofauti na offensive football na Chelsea ilifanya vizuri sana takriban misimu mitatu ya Mou ikibeba kombe na makombe mengine
Let orodha ya timu zote ulaya zinazocheza huo mpira wa kisasa na wakafanikiwa 100% ukiziondoa Barca, Mancity na hao wengine wenye quality players
  1. Moyes alitumia 4-2-3-1 ambayo ndio formation maarufu katika ulimwengu wa soka na aliitumia hiyo kuiweka pazuri Everton katika miaka hiyo ya 2002 hadi 2013 -aliishia wapi
  2. Vangall alitumia 4-3-3 naye aliishia wapi -kutimuliwa
  3. Mou amekuja na 4-3-3 ambayo kwa kweli inapishana kidogo sana na 4-2-3-1 kwa just one player substitute naye mnampiga mawe.
  4. Hata akija Pep mtampiga mawe tu msipompa mamlaka na pesa, labda Mungu mwenye ashuke kuifundisha Man United
Huyu jamaa akijibu swali la which is the best football formation? anajibu hivi

There is nothing like a 'best formation'.
A formation is generally a visual of how the players are lined up, and thanks to the media and over-the-top analysis that everyone goes gaga over a lineup.
Now, I am no football expert, but I am an enthusiast. And from what I have seen, football is about player roles and responsibilities, which in turn make up the formation. Let me ask you this, if you have a best formation, but not suitable players to fit in it, then is it still a best formation?
Your question might be better answered if you asked, what has been football's most successful formation, and even that would be inapplicable to different times and scenarios. As football has evolved, so has formations and structures that teams play in.
- Kaushik Kay, love
https://www.quora.com/What-is-footballs-best-formation-and-why
 
Tatizo la Monaco ni kubomoka kwa team.
Waliondoka wachezaji wengi sana.
1 benjamen Mendy
2 bernado Silva
3 timouth bakayoko
4 Thomas lemar
5 joao motinho
Wote hao ni wa kikosi cha kwanza na hajafanya replacement lazima team iyumbe
Watu mpo equiped vibaya!
 
Giggs kacharuka huko insta



We've seen David Beckham leave for pennies.
We've felt the sting of 150 goal Van Nistelrooy leaving.
They stole Cristiano Ronaldo from us.
They nipped Carlito Tevez from under our noses.
El capitano Roy Keane had the biggest fallout ever.
Wayne f**king Rooney was transfer listed.
So somebody who dared to leave once is threatening to leave again, the door is to the left. Adios mofo.
Nobody is bigger than our club.
Nobody.


Follow @giggsholic for more
~
~
#mufc #united #europa #europaleague #champions #championsleague #championsleaguefinal #fa #facup #football #futbol #manchesterunited #manutd #manunited #adidas #nike #reddevils #red #manchesterisred #ggmu #oldtrafford
 
Mkuu umetema nondo tu....shukrani kwa kufungua watu humu wanaoamini board ndo shida akati mtu kuwatumia hawezi
 
Mkuu huyo sio Ryan Giggs aiseh ni majamaa tu wenye maoni kama hapa jamii forums
 
Hiyo sio account ya giggs ni ya fans ambao hata weww unawrza kufungua na kuandika hayo maneno..
 
Perisic,Toby,Jerome boateng,Mickh,Sanchez.....wakuu hawa wote wana 28+ alafu mtu anasema tunajenga timu hahahahahahahahaha
Kwa mfano hao wakifika 31 martial anakuwa na 26 means tayar kakomaa sijui unapata picha wanaachia uzoefu ufahamu kwa nini arsenal ya wakina nasri ilishindwa kusimama? Hamna wababe wote walikuwa madogo wanaupiga mwingi ila hamna roho mbaya

Watu kama wakina rashford walihitaj uwepo wa watu wazima sio watoto wenzao kama wakina pogba kwa mfano city mbele kuna aguero wakat jesus anachipukia mess alikuwa na wakina gaucho na etooo unapata picha? Utoto mwingi hupungua unapokutana na watu wazima

Ronaldo alikomaa uwepo wa wakina keane na ruud van

Kujenga timu haimaanish uchukue wakina gomes uwaweke ndani utavurugwa na wakina willian na hazard wachezaj wazoef

Baill ana miaka 24 tobby 29 yupo kwenye gem kitambo huoni kama atajifunza?
 
Perisic,Toby,Jerome boateng,Mickh,Sanchez.....wakuu hawa wote wana 28+ alafu mtu anasema tunajenga timu hahahahahahahahaha
Ribbery na rouben wana miaka 33 wakat wakina kingsley korman wanasubir bench kizazi cha wazee kinaondoka taratibu watoto huchukua nafasi huwezi kufanya kama van gaal alivyofukuza wakina nani kisha unataka depay aingie maja kwa moja kwenye timu utapigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…