Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hamna lolote Mou kizingizio chake kikubwa ni budget ya kusajili alafu mwisho wa siku anasajili michezaji ya ajabu anachoanhaliaga yeye ni majina makubwa tu ili apate kick halafu anashindwa kuwatumia mwisho wa siku anagombana nao
 
Umewahi kumsikia Raul Gonzalez akilalamikia makocha hovyo hovyo kama hao jobless wa Man u ?
 
Hata Chelsea alopoonoka ktk timu kwenye awamu ile ya kwanza,moja ya sababu ilikuwa ni kutoelewana na tajiri kutokana na tajiri kutoridhishwa na uchezaji Wa timu pamoja na kocha kuendekeza uadui na timu pinzani pia na vyombo vya habari kwa maneno yake. Lakini wachezaji aliokuwa nao ni hao alowasajili yeye walioendana na mfumo wake. Siku hizi ukiendekeza defensive games utatobolewa hadi ushindwe kushoneka. Siku hizi unajilinda kwa kutumia namna unavyomiliki mpira na kushambulia
 
Sijawahi kumsikia fernando hiero captain wa zaman wa madrid akichonga huyu mtu alicheza mpira wa kiwango cha juu kushoto alikuwepo carlos kulia alikuwepo salgado nne alicheza helguera wote sio wazungumzaji ni kweli madebe tupu yetu yanachonga sana kwa mfano bailly mech ya spurs alipondwa sana hadi alijibizana na philip neville pale unamtoa mchezon mtu mourinho mechi zinazofuata hakumpanga hadi juzi na valencia sasa kidogo karud kisaikolojia
 
Pengine Sera za klabu yake na ufanisi Wa real Madrid unafanya asilalamike. Na tangu Raul astaafu sidhani kama real imewahi pitia vipindi vigumu na virefu vya uborogaji kama hii timu yetu
Kipindi cha mourinho hapa hawakucheza mpira ilikuwa ni vita hasa na barcelona liyokuwa ya moto na benitez pia walicheza soka bovu sna hadi zizou alipoichukua wakaanza kuamka
 
Wale kinachowasumbua ni ujobless tu.
Wanafanya hivyo ili wapate vibarua vya upundit ***** zao
 
Ndio ninachosema pengine Real Madrid haikutetereka kwa muda mrefu kama ilivyo kwa man u ndio maana hawaongei ongei. Ila nna uhakika kama Madrid ingepoteana kwa muda mrefu kama sisi jamaa wangeongea
 


Hapa sikuungi mkono aisee!
 

Shukrani mkuu kwa nondo yako iliyojaamadini tupu...nimekuelewa vilivyo.
 
Giggs naye amuunga mkono Jose.

Ryan Giggs anaamini kwamba Jose Mourinho aendelee kuwa kocha wa Manchester United.

Kocha huyo wa Wales na winga wa zamani wa Manchester United amepigiwa debe kuchukua nafasi ya Mourinho na kiungo wa zamani wa Liverpool , Graeme Souness.

Giggs alikuwa Old Trafford Jumanne usiku kuangalia mechi ya UEFA ya Man United dhidi ya Valencia iliyoisha kwa sare ya 0-0.

Katika mahojiano na waandishi wa habari akitaja kikosi chake cha Wales , Giggs aliulizwa kama Mourinho anatakiwa kuondoka United," Hapana. Kwasasa wapo katika kipindi kigumu ."

"Nilishawahi kusema hivyo . Wataelekea wapi baada ya hapo ? Badilisha sasa hivi na utakuwa katika nafasi hiyo hiyo baada ya mwaka au miwili kirahisi sana. Naamini anatakiwa kubaki."
 
Giggs nae nadhani anaongea kiunafiki ili asionekana mbaya mbele ya pro-Mourinho yeye alikacha kuwa kocha msaidizi nyuma ya Mou hii inaonesha kutomkubali sasa leo inakuwaje anamtetea!!!!
 
Au roberto carlos na ronaldo de lima
Wale jamaa wa man u kina Rio na Paul scholes wa hovyo sana.

Hawa wanavyomkosoa mwalimu wanajenga rebellion kwa kina pogba na wenzake ambao hawajui majukumu yao.

Moyes walikuwa wakimkosoa hivi mpaka wakajenga attitude mbaya kwa wachezaji akaja Van Gaal wakaendeleza ushenzi huu now Mourinho wanamtaka nani ?

Wanafanya hivi ili wapate upundit pumbavu zao kabisa .
Ujobless shida sana
 
Wamlete Jose leornado Nunes Alves Sousa Jardim team itaimarika sana huyu Mourinho kazi imeanza kumshinda.

Badala ya kupambana na kina Guardiola na klopp yeye anapambana na Pogba !!! *****
Jardim asipoangalia ataishusha daraja Monaco kwenye ligi wako nafasi ya 18 na Champions league wamefungwa mechi zote na atapata taabu Sana kuwa-handle big players he is not the better option
 
Jardim asipoangalia ataishusha daraja Monaco kwenye ligi wako nafasi ya 18 na Champions league wamefungwa mechi zote na atapata taabu Sana kuwa-handle big players he is not the better option
Tatizo la Monaco ni kubomoka kwa team.
Waliondoka wachezaji wengi sana.
1 benjamen Mendy
2 bernado Silva
3 timouth bakayoko
4 Thomas lemar
5 joao motinho
Wote hao ni wa kikosi cha kwanza na hajafanya replacement lazima team iyumbe
 
Home hakuingiliki sa hivi...


From Hero to Nothing...

At the end kwa kua mioyo yetu ipo hapa tuendelee kuipenda timu yetu tu..
Kama in mabadiliko Utd inahitaji mabadiliko makubwa sana...

Hata manager anatakiwa abadilike.. CV doesn't matter kwa wakati huu..
Kitendo cha kumnunua Mkhi, Bailly, Pogba, Alexis na kushindwa kuwa-manage bado anafaa kweli???

Katika ulimwengu huu Wa soka LA kutaka mafanikio kila timu inafanya inachoweza kuleta mafanikio..

Mashabiki hatuna cha kujifariji kama Utd itabak kua Simba Wa kuchora uwanjani ili hali Forbers wanaongoza..

Madrid toka 2011 wamepta kina Jose, Carlo, Rafa na Zidane

Barca wamepta kina Pep, Tito, Martino, Lucho

Munchen wamepta kna LvG, Jupp, Pep, Carlo, Jupp tena

Kwa nini? Kwa sababu wanahitaji mafanikio..
Mbali ya waliostaafu au kumalza mkataba kama Pep, Lucho, na Jupp wengi hawakufikia malengo ndo maana wakaondoka au kuondolewa
Except Tito(RIP) na Zidane alijiondoa.

Why not Utd wakati tunahitaj mafanikio?

Kama ni kusajili sidhani kama Utd hawawezi kuleta hao anaowahtaji.. Swali ni Je ataweza kuwatumia?? Mani kamleta Mkhi, Pogba, Lukaku. Alex's and co??

Spurs hawana usajili Wa kutisha ila bado wanasimama na kina Barca, sisi je?

Kwa mini Ed alimleta Pogba, Matic and co. Then akamshindwa Toby?? kna swali hapa?

Kocha unamtaka nani kujenga timu?
Jerome Boateng... Really??

Sometime CV isn't enough..
Katika hili Jose ana wapnzan wachache..

To me Legends wapo sahihi,, na kama sikosei ni wachambuzi wale.. Mbna hata Sourness sio Mancunian ila kaongea?..

Si kosa mwanadamu kusema ukweli..
Macho ya wengi yalitazama mechi ya Juzi..
Utd is finished.. He hali ibaki hivi au mabadiliko? Ndio kitendawili.. Tunawaachia wenye mamlaka..

I'm nothing hata kiatu chake sina nafasi ya kukiosha ila kwa kua nina Uhuru wa kuchangia,, JM is finished.. hasa katika Man Management..
Mo Salah ypo Slow kwa sasa ila Jurgen Simwon katka media akiwaponda..

Nani akupiganie wakati kila siku unamsimanga?

Rio
Schools
Neville and co.
Wanataka mafanikio ya Utd ndio Furaha yao.. Otherwise wangekua wanafurahi now kama kina Jamie Carragher.

GGMU
 
Tatizo la Monaco ni kubomoka kwa team.
Waliondoka wachezaji wengi sana.
1 benjamen Mendy
2 bernado Silva
3 timouth bakayoko
4 Thomas lemar
5 joao motinho
Wote hao ni wa kikosi cha kwanza na hajafanya replacement lazima team iyumbe
Monaco ni kawaida kuuza wachezaji na pamoja na hayo Jardim hataiweza hii timu pressure ni kubwa kama Monaco ameifikisha no 18 huku United anaweza kuishusha daraja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…