Vyote kwa pamoja Mkuu inaitwa compoundingUnaumia kufungwa au kuchaniwa mikeka??
Kwa hii kauli Mkuu ningekuwa Mod ningekupiga ban ya mwezi tenaKocha anahitaji kuaminiwa mkuu bado tutafanya poa pogba anatuyumbisha afuate maagizo ya bosi wake tu ambae ni kocha ukaidi mbaya
Kwa hii kauli Mkuu ningekuwa Mod ningekupiga ban ya mwezi tena
Kuna mido ya Serbia ya kuitwa Sergej Milikovic Savic,vuta iyo inataka sana kujaToa Mou leta kocha mpya....
Uza jones,smalin, lindelof,mata,fellain, unapata angalau paun mil 100 hpa kama unauza kwa bei ya hasara.....
hiyo pauni million 100 unanunua centre back cb wawili wakali, hata 75 kaa maguire fresh maana atakuja kuwa captain bora hiyo inabaki 25....
Tunambembeleza Mou tusimpe pauni mil 12 tumpe paun mil 6 hapo jumlisha ile 25 inakuwa paun mil 31 unapata beki mzuri pale france au ujerumani .....mpaka hapa tunabeki za kati 2 mpya za kumsaidia bailly........
Unampa kocha mpya paun mil 300 anunue viungo namba 10 na straika 1.....
Unawafuata thiago,rodrigues,ndombele wa lyon kupiga 6, au mnyama mwingine wa kusaidiana na matic......
Unakuwa umechoma kama paun mil 200 hapo basi unaenda Torino unatoa 75 nyingine umamchukua Bellotti kumchallenge lukaku.....
Kazi inakua imeisha
Huyu ni mtu wa kukaa pa pogba ujue kinachotuchanganya ni vile matarajio tuliyowekeza kwa pogba na hata wachezaj wenzie lakin kiwango anachokionesha ni duni sana.Kuna mido ya Serbia ya kuitwa Sergej Milikovic Savic,vuta iyo inataka sana kuja
Ngangari sana iyo,inakichafua sana kati unaweza hata kuifanya back up ya matic au ukaitaftia dimba no 8 Pogba akafanye mbwembwe zake no 10Huyu ni mtu wa kukaa pa pogba ujue kiachotuchanganya ni vile matarajio tuliyowekeza kwa pogba na hata wachezaj wenzio lakin kiwango anachokionesha ni duni sana.
Nimemuona mkuu yupo vizur shida bei yake lazio waliyotaka club yetu ikakimbiaNgangari sana iyo,inakichafua sana kati unaweza hata kuifanya back up ya matic au ukaitaftia dimba no 8 Pogba akafanye mbwembwe zake no 10
Nimemuona mkuu yupo vizur shida bei yake lazio waliyotaka club yetu ikakimbia
Ni kweli Mkuu ila alipo fika Mou anastahiri afukuzwe na tufanye double recruitment ya kocha na director of football.....Mkuu timu yetu inayumba na factor nyingi sana kama ni makocha tushafukuza cha msingi tupunguze kuwa timu ya wauza jezi bodi iyajue majukum yao hii ya kuvutana na kocha haitatuacha salama.
Fundi sana ile jamaa ya Lazio, leo imeongeza mkataba, nadhani na bei yake imepandaKuna mido ya Serbia ya kuitwa Sergej Milikovic Savic,vuta iyo inataka sana kuja
Juzi kati hapa ulipanda sana mmebishana mpaka jaziba ikapanda..na hiyo ban uliipatia hapo, cha msingi umefunguliwa karibu tenaUtakuwa mgeni na mm hapa huwa sina hizo tabia ukiona vile ujue mtu kapanda sana bahat nzur siwez kukuacha
Juzi kati hapa ulipanda sana mmebishana mpaka jaziba ikapanda..na hiyo ban uliipatia hapo, cha msingi umefunguliwa karibu tena
Ha ha ha haKwa hii kauli Mkuu ningekuwa Mod ningekupiga ban ya mwezi tena
Mkuu aachwe najua anajua madhaifu yetu kwa sasa ni bora kumuacha apewe fungu atatue matatizo yetu angalia timu alizopita na wachezaj aliowaacha kaacha misingi imara sana mourinho anajenga timu mi nataka ajenge timu kisha apewe giggs tuNi kweli Mkuu ila alipo fika Mou anastahiri afukuzwe na tufanye double recruitment ya kocha na director of football.....
Mkuu Radika ......... Timu kiufundi iko vibaya sana Tactical display za Kocha hamna ......... Manchester United wanacheza mpira wa ovyo kama kuku aliyekatwa kichwa Kuna timu zina average players lakini zinacheza mpira Mkubwa kuliko Manchester hii ya Jose kwa sababu tu ya kuwa na Manager mwenye Tactical display.Mkuu aachwe najua anajua madhaifu yetu kwa sasa ni bora kumuacha apewe fungu atatue matatizo yetu angalia timu alizopita na wachezaj aliowaacha kaacha misingi imara sana mourinho anajenga timu mi nataka ajenge timu kisha apewe giggs tu
Mkuu hapa ukiangalia timu yetu haina nidhamu pogba alianza kusumbua tokea alipowekwa bench siku alicheza vibaya na spurs pale alikasirika mech ya liverool alikaa tena bench akacheza scott sasa tokea hapo akaanza vituko yeye nani asikae bench mkuu akicheza hovyo? Hawa wachezaj wa kawaida wa timu ndogo wanacheza kwa umoja na nidhamu sisi hamna hivyo vitu ukiangalia martial aliambiwa kabisa afanye juhuzi kuboresha kiwango chake hatak anataka kuondoka sasa nidham iko wap ya mchezo wakat sane jana kaambiwa na pep anatakiwa kukaza sasa kwa kile kiwango cha sane bado anaambiwa akaze sisi vipi martial? Juzi pogba anamjibu hovyo kocha mbele ya madogo na wachezaj wenzie huoni kama analeta mtafaruku ndani ya timu? Ifike mahala wachezaj wetu watambue wanavyotakiwa kuipigania timu hata kipind cha sir alex hatukuwah kucheza mpira wa barcelona ila nidham na kumheshimu kocha na mbinu zake zilitufikisha hapa tulikuwa na wachezaj kawaida tu ila wapambanaji sana angalia kwa mfano burnley wanavyocheza kwa nidhamu kwamba kocha wa burnley ni mzur zaidi ya mourinho? Wachezaj wa burnley ni wazur zaidi ya pogba? Ukivimba kichwa utapotea tu takwimu zainaonesha ktk timu za top 6 pogba ndio kiungo anaeongoza kwa kuporwa na kupoteza mipira sasa hapa timu inachezeje ikiwa kiungo kinapotea hivyo wakat ndo injini ya timu???Mkuu Radika ......... Timu kiufundi iko vibaya sana Tactical display za Kocha hamna ......... Manchester United wanacheza mpira wa ovyo kama kuku aliyekatwa kichwa Kuna timu zina average players lakini zinacheza mpira Mkubwa kuliko Manchester hii ya Jose kwa sababu tu ya kuwa na Manager mwenye Tactical display.
Mkuu hapa ukiangalia timu yetu haina nidhamu pogba alianza kusumbua tokea alipowekwa bench siku alicheza vibaya na spurs pale alikasirika mech ya liverool alikaa tena bench akacheza scott sasa tokea hapo akaanza vituko yeye nani asikae bench mkuu akicheza hovyo? Hawa wachezaj wa kawaida wa timu ndogo wanacheza kwa umoja na nidhamu sisi hamna hivyo vitu ukiangalia martial aliambiwa kabisa afanye juhuzi kuboresha kiwango chake hatak anataka kuondoka sasa nidham iko wap ya mchezo wakat sane jana kaambiwa na pep anatakiwa kukaza sasa kwa kile kiwango cha sane bado anaambiwa akaze sisi vipi martial? Juzi pogba anamjibu hovyo kocha mbele ya madogo na wachezaj wenzie huoni kama analeta mtafaruku ndani ya timu? Ifike mahala wachezaj wetu watambue wanavyotakiwa kuipigania timu hata kipind cha sir alex hatukuwah kucheza mpira wa barcelona ila nidham na kumheshimu kocha na mbinu zake zilitufikisha hapa tulikuwa na wachezaj kawaida tu ila wapambanaji sana angalia kwa mfano burnley wanavyocheza kwa nidhamu kwamba kocha wa burnley ni mzur zaidi ya mourinho? Wachezaj wa burnley ni wazur zaidi ya pogba? Ukivimba kichwa utapotea tu takwimu zainaonesha ktk timu za top 6 pogba ndio kiungo anaeongoza kwa kuporwa na kupoteza mipira sasa hapa timu inachezeje ikiwa kiungo kinapotea hivyo wakat ndo injini ya timu???
Sahihi mkuu, jamaa anajenga timu, apewe muda.Mkuu aachwe najua anajua madhaifu yetu kwa sasa ni bora kumuacha apewe fungu atatue matatizo yetu angalia timu alizopita na wachezaj aliowaacha kaacha misingi imara sana mourinho anajenga timu mi nataka ajenge timu kisha apewe giggs tu