Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jose Mourinho ni kama amemaliza kila kitu kichwani mwake, ni kama amemaliza kila kitu kwenye vitabu vyake, ni kama amemaliza vitu vyote maktaba ya Manchester United....... Hizi ni dalili zake ambazo hufuata baada ya kubeba ndoo ila shaka yangu ni namna alivyojijengea sanamu lake njia ya mbali na historia rafiki kwake.

Lakini tukimuandama Jose na Man yetu (yenu) tukumbuke kuwa Pellegrini ni master na vifaa tiba vilivyopo kwa wagonga nyundo kuna wakati anavitumia uzuri na utamu kama ule wa jan

Kilichobaki kwa Jose kwa sasa ni mahesabu ya jioni muda wa biashara asubuhi. Walevi wa kahawa ndio husemaga "shangilia lakini usinishike"....
 
FUNERAL PROGRAM FOR MANCHESTER UNITED:

*Oct. 20: Chelsea vs Man Utd*
*Oct. 23: Man Utd vs Juventus*
*Nov. 7: Juventus vs Man Utd*
*Nov. 11:Man City vs Man Utd*

Burial arrangements will be announced in due course!

Arsenal Brass Band will be in attendance!🤣🤣🤣
 
Unataka niambie huyo mpuuzi Mou alivyoingia sintofahamu na wakina hazard na Willian alipokuwa Chelsea na kufanyiwa mgomo baridi , inamaana captain Wa Chelsea Wa kipindi hicho (JOHN Terry) HAKuwa na sifa stahiki za kuwa captain????


Jana Rio Ferdie kasema "Issue ya Pogba ni ya wachezaji wote ila Pogba ni visible tu nyuma yake kuna lundo la wachezaji"


Ni Genious ndio anaweza elewa hili
 
Hebu angalieni huu ulinzi na kitimu tulichokuwa tunacheza nacho. Hapa unategemea players kuonyesha uwezo wao?
 
Hujaona hapo juu nimesema kwamba man u haina kiongozi nje ya uwanja ( kocha)
 
Poleni ndugu zangu kwa haya tunayoyapitia,dahh!! Sasahivi hali imekuwa ngumu kweli kweli vijiweni hakukaliki,makazini tabu tupu,basi tujipe tu moyo na hili nalo linapita,linapitaje???? Mungu aingilie kati.... tujipe tu moyo pamoja na ugumu wote tuseme tu GGMU!!!
 
Pole sana....Sie Wenger tulishamfurumusha, Tuna maisha mapya walau mdo mdo na UNAI EMERY
 
Pole sana....Sie Wenger tulishamfurumusha, Tuna maisha mapya walau mdo mdo na UNAI EMERY
Atleast nyie japo mlianza vibaya ila Unai anatia matumaini makubwa eeeh hongereni kumvumilia Wenger kipindi chote,aisiii kwetu naona kama miaka elfu hahaha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…