Natamani Morinyo na kikosi chake wangetazama mchezo unaoendelea Darajani muda huu. Team work, passing accuracy, tackles, attacks, unavutia mno.
Babu hawamwamini,manake aliwapa Moyes "the chosen one" wakamfukuzaMkuu ni mtihani mzito sana huu nadhani hili bodi inabidi ikae na legends pamoja na babu wajadili kwaundani
Najua anatazama kikosi alichokiacha. Mou huyu alikuwa anadhubutu ya kumuweka hazard benchi. Leo hii muone hazard anavyo perform. Kiburi chake huwa kinamponza sana
Kitu kizuri ni kwamba kila shabiki alitegemea vituko msimu huu
Dogo kacheza vizuri sana kwa leo
Naona leo kamponda martial halaf kamsifia sana mctominay...ila mm siamini kama huyu dogo anaweza kumuweka herrera benchi
Rio yuko smart ktk hili. Wengi wanafikiri issue ni Pogba, Pogba ni mfunga kengele tu kwa paka.United legend Rio Ferdinand’s comments to BT Sport before kick-off :-.
“In the past we’ve seen managers relieved of their duties, that’s what would normally happen,” said the six-time Premier League winner.
“But the problem is, I don’t think Paul Pogba is on his own if he’s voicing these types of things. I think there’s a group behind him. I don't think it’s just him. What the manager is paid to do is be a manager and dictate to these players and make sure he rules from the top.”
Asked whether Pogba was performing the role of team mouthpiece in his comments of late, Rio replied: “I’d lean towards that, yes.”
Huyu kawaida yake, domo lilizidi kuanzia madrid kaja chelsea naona saa hizi analipractise man u.Tatizo kocha domo sana,alianza msimu kwa kuwaponda wachezaji wake.
Aangalie mwenzie wa Liverpool anavyohamasisha wachezaji wake.
Wakifungwa hiyo gemu. Bodi haitamuonea huruma tena.Ticket ya ndege ya Morinho wanayo Valencia, jumanne wanamkabizi.
Dogo kacheza vizuri sana kwa leo
Yaani, wangelikuwa wanakutana na sisi kama kesho kutwa hivi nadhani mkono ungelituhusu kabisa
Ni matarajio yangu bodi na Mou walikuwa wanaangalia game ya Chelsea na Liverpool, na wameona ni kiasi gani wanafanya upuuzi.
Ni matarajio yangu bodi na Mou walikuwa wanaangalia game ya Chelsea na Liverpool, na wameona ni kiasi gani wanafanya upuuzi.
Yaani, wangelikuwa wanakutana na sisi kama kesho kutwa hivi nadhani mkono ungelituhusu kabisa
Kwa kiwango cha Chelsea na Liverpool, Man United tunatakiwa tukacheze Championship.