Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Champions lig bado unayo moja nne umebeba miaka y 68 huko kama ni historia sijui zilikuwa zinaitwa takataka gani huko mwaka 1992 ikabadilishwa jina nakuitwa uefa champins league ulikaa kama miaka 27 hivi hadi 2005 we liverpool jikatae hapa hupawezi.
Kwan hujui maana ya historia

Kua muelewa mzee
 
Kwa hiyo epl unazo? Miaka minne ya ligi nakufumua halafu unajitia upofu anza kufuta uteja
Dah unachekesha

Mbn unazungumzia hstor tu hujui maana ya hii kauli " kwa sasa"mzee acha kukaza ubongo
 
No maana umesema umenibuluza kwenye lig miaka minne
Bwana ni nakuonea nikuache watafute aston villa na sunderland au everton ufanye nao mjadala mana manchester city,leicester city,arsenal na chelsea wote wanandoo za epl wakubwa zako hao
 
Bwana ni nakuonea nikuache watafute aston villa na sunderland au everton ufanye nao mjadala mana manchester city,leicester city,arsenal na chelsea wote wanandoo za epl wakubwa zako hao
Huna point mze

3front wetu wakal kuliko wako

Mildfilder wetu wakal kuliko wako

Beki wetu wazuri kuliko wako

Kipa tu ndo kidogo mnaweza jitetea

YNWA
 
Usituletee historia hapa, hazina nafasi kwa sasa ..tunachoangalia ni mateso gani mtapata endapo Paul pogba ataondoka. Hilo halina ubishi Man u kwa sasa hakuna kiungo wa kumweka nje Pogba ..na akiondoka kutakuwa na pengo kubwa sana maana mnadai kuwa mtasajili, Lakini wachezaji wengi hawataki kucheza chini ya Mou, hili ndo tatizo ...sasa bodi ichague either Mou asepe au Pogba.

Kwanza kibiashara Pogba anaipa thamani sana Man u ..ili suala jingine, kuondoka kwake kutakuwa na effect kubwa mbili. Ndani na nje ya uwanja ..hili halitaji ubishi mkuu.
 
Nyumbu wa manu mmeona mpira wa wanaume nadhan Liverpool co level yenu kwa sasa

Mkafie mbele

Mtaishia kutumezea mate tu
 

Tukiwaambia kwamba MUFC ndio chanzo cha wao kuzishabikia timu zao wanakataa.

Ona sasa mtu timu yake imeshinda,ameacha kwenda kushangilia ushindi katika Thread ya timu yake amekuja kutokwa na povu humu utafikiri alikuwa anacheza na MUFC😀😀😀

Timu nyingine hazina mashabiki bali zina watu wanaoichukia MUFC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…