Kipindi cha kwanza tumecheza vizur cha pili hovyo
Mpira umebadilika sana yale mambo ya zamani kwa sasa ni ngumu kujirudia kirahisi uwekezaji wa maana unatakiwa hata timu ndogo zinachukua wachezaj wazur mfano everton anaweza kuchukua mchezaji toka barcelona.
Martial akipata chance anaweza cheza nafasi ya Lukaku au Sanches. Ana kasi na ball control nzuri.Nimemuona martial daa ana kazi nzito ya kufanya kwa kweli
Ngumu sna mkuu amini nakwambiaMartial akipata chance anaweza cheza nafasi ya Lukaku au Sanches. Ana kasi na ball control nzuri.
Ngumu sna mkuu amini nakwambia
Kwa upande wa ushambuliaji bado kuna mapungufu hasa mtu anaetokea kulia pia ukiangalia pogba anavyocheza very slow yani timu inatakiwa iwe na kasi kutoka katikati kwenda mbele naona kinachotugharimu kama watu wawili au watatu wenye spidiMkuu huoni kwamba kwa aina ya soka la Mou anatakiwa apate NO 9 mwenye control nzuri?
Alikua anataka kutoboa nyavu nn!! Bonge la goli...
Naona una stress... Kanywe juisi ya LIMAO NA PILIPILI kiasi utachotaka nakuja kulipa...Kwel morihno kaishiwa mbinu au wachezaji ndio wanamuangusha?? Tim haina flow nzuri ya mpira wapiga piga to alimradi mpira umeenda mbele...
Poor United
Hili litakua goli la mwezi aiseeTambaa tembea kimbia yote inachotakiwa ni kwenda mbele. Tatu muhimu Smalling kafunga goli zuri sana.
Ndio maana akaletwa fred ili kum supplement pogbaKwa upande wa ushambuliaji bado kuna mapungufu hasa mtu anaetokea kulia pia ukiangalia pogba anavyocheza very slow yani timu inatakiwa iwe na kasi kutoka katikati kwenda mbele naona kinachotugharimu kama watu wawili au watatu wenye spidi
Fred atacheza sehem ya matic kwa kuwa ana kadi nyekundu fellain abaki aneo lile lile tuna kazi ya kupata kiungo mkabaji kuna kitu fellain kaoneshaNdio maana akaletwa fred ili kum supplement pogba
Pogba anajua ila nadhani ana kiburi na majivuno. Kuna wakati naona bora wamruhusu asepe japo ana uwezo kusaplai mipira. Anapoza mpira sehemu mnapotakiwa kuamua harakaNdio maana akaletwa fred ili kum supplement pogba
Matic anacheza namba 6, nnavyojua fred anacheza namba 8 na kumi.Fred atacheza sehem ya matic kwa kuwa ana kadi nyekundu fellain abaki aneo lile lile tuna kazi ya kupata kiungo mkabaji kuna kitu fellain kaonesha
Pogba is the best mkuu... Mi nadhan mou na pogba wangekaa wayamalize. That man is the best playmaker we have at this very moment.Pogba anajua ila nadhani ana kiburi na majivuno. Kuna wakati naona bora wamruhusu asepe japo ana uwezo kusaplai mipira. Anapoza mpira sehemu mnapotakiwa kuamua haraka
Tutapigwa sana perreira si kiungo mkabaji ile timu viungo wengi wa ushambulizi kiungo mkabaji ni scott kiasili perreira kama pogba tu ila tunataka kumfanya kama herreraMatic anacheza namba 6, nnavyojua fred anacheza namba 8 na kumi.
Namba sita nadhan perreira akiaminiwa anaweza. Fred sizan kama namba 6 inamfaa kwa uchezaji wake...
Kwenye mechi zijazo tarajia perreira kupewa namba ya matic...
Kwani Herera kawaje?? Ila ile kadi ya Matic ni magumashiTutapigwa sana perreira si kiungo mkabaji ile timu viungo wengi wa ushambulizi kiungo mkabaji ni scott kiasili perreira kama pogba tu ila tunataka kumfanya kama herrera
Kwani ana ugomvi na kocha?Pogba is the best mkuu... Mi nadhan mou na pogba wangekaa wayamalize. That man is the best playmaker we have at this very moment.
Herrera alibadilishwa toka namba 8 hadi kuwa mkabaji bilbao alikuwa akishambulia balaa nyuma yake alikuwepo martnez huo moto wakeKwani Herera kawaje?? Ila ile kadi ya Matic ni magumashi
Kumbuka hata valencia alikua namba 7...ila kwa sasa ni namba 2 tegemezi.. Ningekua mou ningemjenga perreira awe namba 6 na ameonyesha anaeza akipewa nafasi...Tutapigwa sana perreira si kiungo mkabaji ile timu viungo wengi wa ushambulizi kiungo mkabaji ni scott kiasili perreira kama pogba tu ila tunataka kumfanya kama herrera