Mbona anafunga goli vizur tu sema kuna muda anakosa goli za wazi last season alifikisha goli 17 hizo ni epl tu msimu wake wa kwanza ktk mech nne za sasa ana goli 3 bado una wasiwasi na lukaku?
Mbona anafunga goli vizur tu sema kuna muda anakosa goli za wazi last season alifikisha goli 17 hizo ni epl tu msimu wake wa kwanza ktk mech nne za sasa ana goli 3 bado una wasiwasi na lukaku?
Ni takwimu za epl sio sisi idadi ya mechi na magoli waliyofunga yani muda uliotumika kuifikia rekod ya drogba naona wengi wanakurupuka huu mjadala hawalinganishi uwezo ni kama vile salah alivyovunja rekod ya ronaldo ya magoli mengi epl ktk msimu mmoja