Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Top 4 itabadilika kwa kutoka Tots na ataingia Chelsea. Wengine watabaki vilivile.
 
hivi wadau hawa arsenal ndio wale waliokua wanashinda goli kwa fujo kwenye pre season tour?
hahaha kweli kanzu mpya shehe yule yule
mechi ya leo ya aseno imenichekesha sana daaaah
we miss you wenger...huyu jamaa akitaka atoboe aondoe kizazi chote cha wenga maana wachezaji wengi leo walikua wanacheza wakijua wenga bado yupo kwenye benchi
 
mechi ya leo ya aseno imenichekesha sana daaaah
we miss you wenger...huyu jamaa akitaka atoboe aondoe kizazi chote cha wenga maana wachezaji wengi leo walikua wanacheza wakijua wenga bado yupo kwenye benchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…