Naona mmekua man u lia liaZidane aje old Trafford ndo matatizo yataisha
Mou anaendelea kujenga timu,tukipata tena kipa wa miaka 36 tunatwaa kombe.
Martial aondoke kwani hayupo kwenye mipango ya mourinho,na hii ni tokea mwanzo..utaifananishaje situation ya rooney kubadilishwa namba na situation ya martial??Kuna muda iwe hivyo rooney alilazimishwa kucheza kila namba kwa mapenz ya timu na kukubali majukumu mapya martial kaomba kusepa kwa nini akataliwe hapa ndo linapokija suala la kutengeneza wachezaj wa academy ni nadra kusikia wana ka mgomo au kaomba kusepa watapambana kwa ajili ya timu haijalishi yupo ktk mazingira yapi.
Hukumsikia wakala wake kuhusu martial? Kuna tofauti gani? Kwani rashford hakubadilishwa namba?Martial aondoke kwani hayupo kwenye mipango ya mourinho,na hii ni tokea mwanzo..utaifananishaje situation ya rooney kubadilishwa namba na situation ya martial??
Usihadaike na juhudi binafsi za ronaldo zizou kasepa kishajua majitu yake ya kazi jua lishazamaZidane aje old Trafford ndo matatizo yataisha
Bro huu uzi ni wa UNITED..sasa ww unaleta kelele zako humu..tulia.Naona mmekua man u lia lia
Zizzou anajua kushinda..zizzo hakufanya usajili mkubwa tamgu alipokuwa kocha lkn walichukua makombe ya kutosha..Usihadaike na juhudi binafsi za ronaldo zizou kasepa kishajua majitu yake ya kazi jua lishazama
Nachosema mimi ni kwamba mourinho alikuwa hamtaki martial tokea mwanzo..so ata akiondoka ni vizuri kwake..kuhusu rooney kubadilishwa namba hiyo iko obvious kwamba alikuwa na uwezo mkubwa kwenye hizo nafasi alizokuwa akibadilishwa..usidhani kuwa itafanya kazi kwa mchezaji mwingine yeyote!!Hukumsikia wakala wake kuhusu martial? Kuna tofauti gani? Kwani rashford hakubadilishwa namba?
Umemuona young na valencia?Nachosema mimi ni kwamba mourinho alikuwa hamtaki martial tokea mwanzo..so ata akiondoka ni vizuri kwake..kuhusu rooney kubadilishwa namba hiyo iko obvious kwamba alikuwa na uwezo mkubwa kwenye hizo nafasi alizokuwa akibadilishwa..usidhani kuwa itafanya kazi kwa mchezaji mwingine yeyote!!
Mou anaendelea kujenga timu,tukipata tena kipa wa miaka 36 tunatwaa kombe.
Kwanza hawa wote walikuwa ni natural wingers..na wengi wao wanaweza kuwa hata full backs..angalia moses wa chelsea..inabidi pia wawe na fiziki nzuri..sasa unataka neymar leo awe beki mbili,mbape awe beki,dembele awe beki,mo salah awe beki??Umemuona young na valencia?
Kwani martial ni striker?Kwanza hawa wote walikuwa ni natural wingers..na wengi wao wanaweza kuwa hata full backs..angalia moses wa chelsea..inabidi pia wawe na fiziki nzuri..sasa unataka neymar leo awe beki mbili,mbape awe beki,dembele awe beki,mo salah awe beki??
Hao akina valencia na Young walishindwa kufit kwenye mfumo na umri ushakwenda,sasa kwa nini wasicheze kama mabeki??.
We ulitaka pia mourinho akimwambia martial acheze beki mbili yeye akubali tu??
Martial ni straiker ndio,..straiker anayetokea pembeni..Kwani martial ni striker?
Umemuona mbape na perisic?
Zizzou anajua kushinda..zizzo hakufanya usajili mkubwa tamgu alipokuwa kocha lkn walichukua makombe ya kutosha..
Martial sio strikerMartial ni straiker ndio,..straiker anayetokea pembeni..
Unautani wewe..martial ni nani sasa??Martial sio striker
Winga yule si namba 9Unautani wewe..martial ni nani sasa??
Anaweza kucheza nafasi yoyote mbele (foward)..kipindi cha van gaal kwani alicheza no ngapi..si no 9??Winga yule si namba 9