Nasikia uwanja wa Old Trafford ulijaa 'CRYSTALS' nyingi sana za mawe ya ikulu, hivyo Fergie alilazimika helcopta yake kuitua kwa Mashabiki wa Man U. Maana alijua hizi crystals zitaleta matata.
What a tennis match ningependa mechi kama hizi watanzania waangalie ndio wajue tunaishi katika dunia ya namna gani. Bravo to Nadal and Spain for winning for the fifth time in eleven years .... ... ngoja tuwakodolee macho cottagers sasa ambao wanawakaribisha loserfools ... .. . oooops hawachezi leo khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kesho .. ... ..