Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hureee leo ushindi mwepesi. Rashford in, naona watu wanavyokimbizwa kule kushoto maana nina uhakika na Young ni mkongwe na ana uwezo mkubwa sana wa kupanda na kushuka. Valencia na Mata ni balaa. Hii winga ya kulia itakuwa motooooo. Na kizuri zaidi yule kijana mvivu mvivu #Martial# hayupo. GGMU
 
Ninawasi wasi na beki za pemben na smalling may b leo watakuwa mashujaa
 
naomba mwenye link ya livestream atupie Man U vs Liverpool
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…