Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kiungo wa kati mfaransa Paul Pogba yuko tayari kuondoka Manchester United ikiwa meneja Jose Mourinho ataendelea kuwepo Old Trafford. (Sun on Sunday)
Huyu Pogba nae asitupande kichwan ndio maana babu fergie alikuwa mbabe enz zake hakupenda huu upuuzi Rooney tu ndio alimtingsha
 
Siyo kawaida mzee. Tokea Oct. 30, 1937, zao la Man United academy lazima liwepo kwenye benchi ama starting 11. Miaka 81 hiyo!

Ebu taja timu nyingine iliyofanya hivyo.

Na Liverpool pia Mkuu! Au labda Ukatae tu..

Sikushuhudia Enzi za Kina Kaven Keegan! Lakini Nimeshuhudia Kizazi cha Kuanzia Miaka ya 1990 mpaka Leo basi Liverpool Haijawahi Kukosa Kizazi Cha Academy First XI au Kwenye Bench.
 
Umefafanua vizuri aisee mm ni 1 ya watu waiso muelewa JM na mfumo wake namna anvyo watumia wachezaji katika nafasi zao lakin huwa najua anachofanya kama kocha
 
Unasema tokea mwaka 1990? Umeona United ni tokea mwaka 1937!!

Nimesema Mwanzo Kuwa Sikushuhudia Kizazi Kabla Ya Hapo!
Kwahiyo Kuwa Sikushuhudia Haimaanishi Kuwa Hawakuwepo Wachezaji Wa Academy Enzi Hizo! Bali Ningelisema Kuanzia Mwaka 1937 Ningelishindwa Kutetea Hoja Kwani Ungeniambia Nikutajie Mmoja tu Basi Ningelishindwa Kumtaja. Na Ndiyomana Hata wewe sitaki Kukuuliza.

Lakini Kwa Kizazi cha Kuanzia 1990 ukinitaka Nikutajie Basi Nitasimamia Hoja Yangu.

Kwahiyo Sikusudii Kusema Kuwa Tumeanza Kuchezesha Wachezaji Wa Academy Mwaka 1990! Bali nimetaja Zama Zangu tu!
 
Kwani mimi nimeshudia kuanzia hiyo mwaka 37? Si kuna historia na kumbukumbu mzeeiya?
 
Na Liverpool pia Mkuu! Au labda Ukatae tu..

Sikushuhudia Enzi za Kina Kaven Keegan! Lakini Nimeshuhudia Kizazi cha Kuanzia Miaka ya 1990 mpaka Leo basi Liverpool Haijawahi Kukosa Kizazi Cha Academy First XI au Kwenye Bench.
UNITED ni kila match squad (18 players) wanaoitwa kwenye mechi kuwa na academy product Liverpool hawana hiyo record
 
UNITED ni kila match squad (18 players) wanaoitwa kwenye mechi kuwa na academy product Liverpool hawana hiyo record
Manchester United: De Gea (7), Varela (7), Carrick (6), Blind (6), Rojo (6), Schneiderlin (6), Herrera (7), Mata (7), Depay (7), Lingard (6), Rashford (8).

Subs used: Fosu-Mensah (6), Januzaj (5), Weir (5).

Arsenal: Cech (6), Bellerin (6), Gabriel (6), Koscielny (6), Monreal (6), Coquelin (5), Ramsey (5), Welbeck (7), Ozil (7), Sanchez (6), Walcott (4).

Subs used: Giroud (5), Elneny (5), Iwobi (5).

Man of the match: Marcus Rashford
Dhidi ya Arsena mwaka 2016 3-2
 
Ana pafu karibu ya (the three lungs )ji sung park anajituma sana ndio maana mou humwambii kitu kuhusu Lingard
Lingard zao la van gaal? Alifunga holi ngap chini ya van gaal? Alikuwa maarufu? Huyo essien na drogba walikuwa ni wachezaj waliokuwa wakifahimika kwamba wakija epl wataonesha maajabu?
 
Timu yetu bado sana pamoja na kushinda jana 2-1.Tunahitaji mpira wa burudani kama Man City,Liver,Tot,Chelsea
 

Hudson Odoi amecheza mechi gani ya Epl?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…