Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mourinho out,huyu kocha hatupeleki sehemu yoyote...tunashika nafasi ya pili kwa sababu timu nyingine msimu huu zimetuzidi ubovu kidogo.

Haikuingii akilini kabisa,why smalling anaanza mbele ya lindelof,ambaye tena kocha amemsajili mwenyewe na ameonyesha ukakamavu japo mechi za mwanzo alikuwa hajatulia,ila ni mchezaji mwenye mentality ya kudrive mpira mbele sio kama huyu smalling ambaye miaka na miaka amekuwa akitucost na bado anaendelea kubaki old trafford.

Tuje kwenye swala la pogba,..mourinho nahisi ameshaona kabisa kuwa pogba sio mkabaji mzuri,why aendelee kumpa na role kubwa ya kuwa defensive..why herrera asicheze na matic na pogba akasogea mbele,then unapunguza mtu mmoja mbele and then kuna kuwa na fluidity(pasi zinakuwa zinaflow)...refer mechi mbili za away tulizicheza ambazo lingard,martial,sanchez na lukaku wote walivyokuwepo ndani..timu haina balance kabisa,wanacheza as if huwa hawaendi training kabisa,..fecking pathetic

Tuje kwenye swala la left back..young akicheza kama left back mara nyingi left flank inakuwa haina impact kubwa,anaharibu balance,pale shaw ndo mtu sahihi wa kucheza huku young akiwa yupo bench.

Hii timu yetu tunaipenda ila haitutendei haki kabisa,hata baadhi ya mechi tulizoshinda msimu huu,tumezicheza ovyo,ila tukapata ushindi

Man united kwa miongo kadhaa imekuwa ikijengwa chini ya falsafa ya kushambulia kwa kasi,hii identity imepotea kabisa,timu kwa sasa inacheza kwa kuvizia vizia na kutarajia kupata matokeo chanya bila ya mipango mathubuti.

Liverpool wanaderseve kuwa juu yetu kwenye epl msimu huu,they play a beutifull football,na incase wamepoteza mechi unaona kweli timu atleast ilipambana

Finally,its time for Mourinho to leave japo amepewa contract extension..aje kocha atakayejenga kikosi chenyw mentality ya kupambana na kushinda huku tukicheza futuboli ya kupendeza machoni.

Shabiki mkereketwa wa united ndo nimemaliza.
 
Kasomee ukocha ili upewe hiyo kazi ndio utajua kwanini Mourinho anafanya hivyo
 


Alicheza namba ngapi juve!?
 


pale anaestahili kulipwa pesa ndefu de gea kasumbuliwa sana kwenda madrid hajawahi hata siku moja kugoma au kuongea hovyo dhid ya club au kucheza chini ya kiwango huyu ni mtiifu wa timu hata siku ikitokea kahama kwenda madrid binafsi sitokuwa na kinyongo de gea anaipenda sana madrid lakin hajawah kusema moyo wake upo kule kama kipa wa chelsea pogba alitakiwa akaze hata akitaka chapaa hakuna wa kubisha
 
dogo ukiona live na kwenye picha ni vitu viwili tofaut ndo mana hakuna aliezungumzia huo mpira ulikuwa mgumu sana kama angepiga asingefunga ilikuwa lazima atulize na kupiga chenga alijikunja sana aliekosa goli la wazi ni martial
Hahaa.. UTD fan always like that
 
.
Man United 4-0 West Ham
Swansea 0-4 Man United
Man United 4-0 Everton.......

Manchester United tumapata Coach bana Mourinho atakua ni mrithi sahihi wa Mikoba ya Ferguson.
:
:
Liverpool 0-0 Man United
[ possession 70-30 ]

kikubwa point ball possession waachie Arsenal
:
:
Huddersfield 2-1 Man United

Mourinho sio Coach ni msimamizi wa mazoezi
:
:
Benfica 0-2 Man United

Mourinho ni Coach mzuri sana msimu huu lazima tubebe Uefa.
:
:
Chelsea 1-0 Man United

huyu Coach ni msenge sana hua anaenda kugawa tu point kwenye team yake ya zamani << Mourinho out >>
:
:
Arsenal 1-3 Man United

Guardiola, Conte ,Pochettino, Wenger = Mourinho, hakuna kama Mou huyu Coach akitengeneza ukuta huwez kupita.
:
:

Man United 1-2 Man City

tatizo sio Lukaku ni Mourinho
:
:
Bristol 2-1 Man United

huyu coach tumemchoka aondoke tu bora team apewe giggis Mourinho out out out
:
:
Everton 0-2 Man United

mwaka huu tumeingia na kasi ya ajabu tunaupiga mwingi hadi unamwagika hakuna tena kupaki bus << in mourinho we trust >>
:
:
Leicester 2-2 Man United
Man United 0-0 Southampton
Man United 2-2 Burnley

huyu Coach sijawahi kumkubali tangia aje Manchester United.
:
:
Man United 2-0 Huddersfield

huyu coach aongezewa mkataba naona taratibu kaanza kuirudisha hadhi ya Manchester United.
:
:
Newcastle 1-0 Man United

Mourinho anabebwa tu na umaarufu wa jina lake lakini sio Kocha.


................................................................. hii season ni ndefu sana kuiangalia
 
Nimecheka sana
 
Sisi wapenzi tunachojua ni ushindi tu.
mwaka jana PEP walisema sio mwalimu alikuwa anafundisha ligi nyepesi
kama ulivosema Mou mechi 4 za kwanza bonge la kocha tena alichelewa sana kuletwa MANCHESTER
Conte mwaka jana alikuwa bonge la kocha lakini sasa sio mwalimu
Jurgen Klopp yeye siku mbili mzuri siku mbili mbaya inategemea na matokeo yake
Wenger akishindani mechi moja ataitwa Professor akifungwa neno WENGER OUT kama kawa
Wapenzi ndio tulivyo sisi kwetu ni matokeo tu hakuna jingine
 

Hahaha mashabik bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…