mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,696
Kwan hajui anachokifanya si kila mechi anakosesha watu ushindi aambiwe tu wazi ajirekebisheMh! Sijapenda hapo kwenye rangi nyekundu. Anataka kumtia hofu huyu na kutafuta sababu ya kumuweka bench. Rashford ni mchezaji mzuri sana badala ya kumponda hadharani anatakiwa ahamasishwe zaidi.
Pole kwa kichapo cha janaYeovil Town 😀 😀 😀 😀
Iko Siku nitawaambia Kwanini Leo ninacheka!
Mh! Sijapenda hapo kwenye rangi nyekundu. Anataka kumtia hofu huyu na kutafuta sababu ya kumuweka bench. Rashford ni mchezaji mzuri sana badala ya kumponda hadharani anatakiwa ahamasishwe zaidi.
Mkuu sijakosea..zile spidi, mashuti na commitment uwanjani anayoionesha Rashford halafu anawekwe bench na huyo roho huwa inaniuma sana. Martial hana control nzuri ya mpira akikimbia na mpira unamgongagonga miguuni na kuishia kuuacha nyuma, muangalieni kwa makini. Sisemi sana tusubiri mechi ya keshokutwa na Spurs mmesema ndio kapumzishwa ili akapambane pale na Aurier mtarudi hapa kujuta.Mkuu umekosea kuandika au ?!!!!!!!!!!
Lini ametukosesha ushindi kwa uzembe wake??? Kila akianza ni 4G.Kwan hajui anachokifanya si kila mechi anakosesha watu ushindi aambiwe tu wazi ajirekebishe
Mkuu kwani huyo Kyle Walker amerudi tena Spurs? Au mie ndio nimejivuruga hapa?Mkuu sijakosea..zile spidi, mashuti na commitment uwanjani anayoionesha Rashford halafu anawekwe bench na huyo roho huwa inaniuma sana. Martial hana control nzuri ya mpira akikimbia na mpira unamgongagonga miguuni na kuishia kuuacha nyuma, muangalieni kwa makini. Sisemi sana tusubiri mechi ya keshokutwa na Spurs mmesema ndio kapumzishwa ili akapambane pale na Carl Walker mtarudi hapa kujuta.
Mkuu kwani huyo Kyle Walker amerudi tena Spurs? Au mie ndio nimejivuruga hapa?
Mkuu nazungumzia ushindi goli wa 4GLini ametukosesha ushindi kwa uzembe wake??? Kila akianza ni 4G.
Martial is always better than rashford kwakila kitu.Mkuu sijakosea..zile spidi, mashuti na commitment uwanjani anayoionesha Rashford halafu anawekwe bench na huyo roho huwa inaniuma sana. Martial hana control nzuri ya mpira akikimbia na mpira unamgongagonga miguuni na kuishia kuuacha nyuma, muangalieni kwa makini. Sisemi sana tusubiri mechi ya keshokutwa na Spurs mmesema ndio kapumzishwa ili akapambane pale na Carl Walker mtarudi hapa kujuta.
Hivi ni rashford gani unayemzungumzia kuwa anatakiwa amweke martial bench?.Mkuu sijakosea..zile spidi, mashuti na commitment uwanjani anayoionesha Rashford halafu anawekwe bench na huyo roho huwa inaniuma sana. Martial hana control nzuri ya mpira akikimbia na mpira unamgongagonga miguuni na kuishia kuuacha nyuma, muangalieni kwa makini. Sisemi sana tusubiri mechi ya keshokutwa na Spurs mmesema ndio kapumzishwa ili akapambane pale na Carl Walker mtarudi hapa kujuta.
Na ndo maana martial is way better than rashford.Martial ni mchezaji aliyempa lukaku assist nyingi zaidi,hata body language ya lukaku inazungumza akiwa na martial.Wala ajamponda, kasema ukweli. Rashford ananyima wenzake magoli kwa kuwa mchoyo wa pasi za mwisho.
Itafute SHOW SPORT TV haipo play store aknWadau app gani inaonyesha mechi live, maana nimezujaribu nyingi but baada ya muda zinasumbua!
Gemu zote za 4g martial ndo katoa mchango mkubwa kuliko rashford kasoro hiyo mechi ya yeovil,ambayo alipumzishwa home.Lini ametukosesha ushindi kwa uzembe wake??? Kila akianza ni 4G.
Show sport tv haipo play store akin inaonesha game karibu zote achana na mobridoNimejaribu kudownload lakini zina-appear nyingi na ni fake, unaweza nipa link ya original?
Can Alexis Sanchez play for Manchester United in the Champions League?Alex Sanchez vipi atashiriki Champions League msimu huu akiwa na Manchester united au itabidi asubiri mpaka next season. ? naomba kujuzwa wakuu.
Leta basi link watu wapakueShow sport tv haipo play store akin inaonesha game karibu zote achana na mobrido