Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kijana jiheshimu sana una safari ndefu kimaisha matusi na dharau havitokusaidia tafadhali lakini
Tumia lugha nzuri tafadhali tena!
Wewe dawa imeshakuingia kaa pembeni na ukome kuita wakubwa zako kuwa ni wakwepa kodi
 
Umeelewa nilichoandika?

Umejibu au umeanzisha mada nyingine?
Kichaaa kama wewe sihitaj kusoma nikuandika tu mtu mwenyewe wa 2008 angekuwa ni chelsea,liverpool au arsenal mjadala unaenda kikubwa sasa wewe hata level ya everton hujafika
 
Kichaaa kama wewe sihitaj kusoma nikuandika tu mtu mwenyewe wa 2008 angekuwa ni chelsea,liverpool au arsenal mjadala unaenda kikubwa sasa wewe hata level ya everton hujafika
Lakini mimi ni bora kuliko wewe kwa sasa ndiyo maana nimekupasua OT
 
Kijana heshima ni kitu cha bure matusi na kebehi sio mtaji
Jifunze kuheshimu watu usiowafahamu ushauri wa bure tu huu
Poa pia na wewe kijana jifunze kuwa na koromeo ukiona watu wanaongea usipende kuingilia maasada maana utaishia kupanic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…