Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tetesi

Manchester United na Chelsea wanataka kumsajili kiungo wa kati wa Brazil Arthur Melo, 21, kutoka Gremio. (Star)
 
Tetesi

Manchester United pia wanawataka washambuliji wawili akiwemo mshambuiaji wa Leicester na Uingereza ,30, Jamie Vardy na mwenzake wa West Ham, 29, Javier Hernandez, ambaye alikuwa katika uwanja wa Old Trafford kutoka 2010-2015. (Telegraph)
Masihara haya.
 
Tukimpata Sanchez ntakuwa na uhakika kuwa tunaweza kufukazana na city maana timu itakuwa na pace sana itabidi mou aache mbinu za kiboya za kulinda muda wote kilichobaki tupate 8 mzuri ili pogba acheze 10
 
£89m for Pogba = Crazy
£150m for Coutinho = Worth it

Liverpool sign CB for £75m = Value
United sign Lukaku for £75m (107 PL goals aged 24) = Waste

Pep develops £50m Sterling = Genius
Jose develops academy lad Lingard = Nothing

Sanchez to Utd = Money
Sanchez to City = Trophies

Hizi kauli noma sana zinachekesha sana.
 
JIPATIE DAU LA BURE KUTOKA WWW.BONGOTIPS.COM LA KUANZIA TSH 5,000/= HADI TSH 40,000/= KILA SIKU PALE UNAPO WEZA BASHIRI GAME ZAKO NA ZIKASHIDA.

MAELEZO ZAIDI PIGA 0673839983 , 0718445962, NA 0625655587
AU TEMBELEA WWW.BONGOTIPS.COM AU PAGE ZETU ZA FACEBOOK ZA BONGOTIPS PREDICTION
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…