Manchester United (Red Devils) | Special Thread


 
hahahaa
 
Ozil ambaye yupo kwenye mwaka wake wa mwisho , amegoma kuongeza mkataba mpya pale Emirates na gazeti la Mirror limesema kwamba Mourinho amepewa ruksa ya kuzungumza na nyota huyo mwenye umri wa miaka 29
Gazeti hilo pia limesema kwamba Mourinho amepanga kutumia paundi milioni 80 kwa mwezi huu wa Januari, na anajiandaa kujidiliana na Gunners kuhusu bei ya kulipa kwa ajili ya nyota huyo
Wenger ana nia ya kumbakiza North London nyota huyo wa Ujerumani, licha ya Ozili kubakiza siku chache kwenye mkataba wake

Bayern Munich na Paris Saint Germain pia zimekuwa zikuwania Mesut Ozil
 
Mechi tunayozungumzia ambayo Arsenal amekuja NNE Jana ni FA baba siyo carabao.
 
PL clubs in the The Emirates FA Cup 4th Round...

Liverpool v West Brom
Peterborough v Fleetwood/ Leicester
Huddersfield v Birmingham
Notts County v Wolves/ Swansea
Yeovil v Man Utd
Cardiff/ Mansfield v Man City
Southampton v Watford
Boro v Brighton/ C Palace
Bournemouth/ Wigan v Shrewsbury/ West Ham
Newport v Spurs
Norwich/ Chelsea v Newcastle
 
Nimeingia jukwaa la likes kule kwa captain Rutashubanyuma nimeishia kucheka tu daaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…