Mashabiki wengi wa Mau kwenye hili jukwaa ni wamejaa uswahili, h
timu ikifanya vizuri wanampongeza kocha na wachezaji, ila ikidraw basi lawana tele. Kuna watu wanakosoa mbinu za mwalimu wakati wenyewe wakipewa hata chekechea hawawezi kufundisha. Tuwe na ushabiki na pia tuweze kukubaliana na yale timu inafanya, huku kuna watu wanaongea mbovu utadhani hata wana hisa kwenye club