Baada Ya Gurdiola Kufanikiwa Kuinunua Ligi Hawa Man Shit washaanza Mdomo! Kabla Ya Kuangalia Kuwa Kwanini Hajafungwa kwanza Wangeangali Katumia £ ngapi Kwa Ajili ya Kufika Hapo alipo.
Lakini Muarabu afahamu Kuwa Mpira Ni Wa Wananchi na Si Wa Pesa..
Hata Abramovic 2004/05 aliinunua Ligi lakini Sasahivi Kaishia Wapi? Kuingia sokoni anaogopa Anaishia Kuuza Matic anunue Moratta.
Na Huyo Mwarabu Ajue Matumizi Ya Katika Soka Yana Ukomo..
Kwa Ufupi Gurdiola Kainunua Ligi.