Tetesi
Mashabiki wa Manchester United huenda wakalazimika kulipa hadi £133 kwa tiketi za kombe la vilabu bingwa ugenini dhidi ya Sevilla. (Manchester Evening News)
Manchester United, Real Madrid, Juventus na Bayern Munich wamezindua jezi mpya lakini katika mchezo wa kompyuta wa Fifa wa wachezaji wa miaka 18.(Daily Mail)