kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,350
Naomba nipe mfano wa quality teams tulizocheza nazo zikatengeneza nafasi nyingi na idadi. Mfano Man city,Chelsea,Tottenham na Arsenal.
Arsenal watu wengi wanazungumzia nafasi 33 lakini kiutaalam Arsenal walitengeneza CLEAR CHANCES NNE TU, moja ikazaa goli tatu De Gea being De Gea the rest were shots u expect a decent keeper to save.
NDUGU HAPO KWENYE KEEPER'S SAVE MI NDO NIMECHUKULIA UDHAIFU WA MABEKI UNAONEKANA, SIJUI MWENZANGU UNAONAJE.
Attachments
-
Screenshot_20171217-185215.png11.2 KB · Views: 30
-
Screenshot_20171217-185215.png11.2 KB · Views: 24
-
Screenshot_20171217-185029.png11.7 KB · Views: 26
-
Screenshot_20171217-184950.png15.6 KB · Views: 25
-
Screenshot_20171217-184844.png15.2 KB · Views: 28
-
Screenshot_20171217-184625.png11.8 KB · Views: 31