Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Mkuu, kupitia transition period kwa club yoyote after having one manager for long term inaeleweka kuwa huwezi kupata same results as the ex manager, na ndio maana ukaona contract wanazosign managers after SAF ni 3 years, ili kumpa time manager ajijenge. Lakini hawakuishia kwa muda wote huo kwanini? They brought in zero hope. Tizama timu kama liverpool, you can feel the passion from the players and the need to win the title, you can see them fighting every match, hata kama watafungwa 6, you can see them fighting, THIS IS WHAT MU FANS WANTS. We need to see the time fighting for winning. LFC wakiifunga MU, hata kama hawajachukua kombe, lakini they are happy, this is what is missing in MUFC now.

ukija sauala la manchester united sio kazi nyepesi kama unavyofikir wamepita makocha wa ngapi? hiyo ni baada ya sir alex kukaa miaka 26 unafikir ni jambo jepesi ndugu mpeni credit mourinho na heshima
Mkuu, suala la kupitia makocha wa ngapi tangu SAF aachie ngazi sio kigezo kama fulani apewe credits or not. Kilio cha Fans wa MU hujakielewa nahisi, ni STYLE OF PLAY.... We dont attack anymore, even under mou timu mbovu zikija Trafford zinaamini zinaweza kutoka na point 3, MU is not a threat to any team, Hata leeds united is not threaten by MU. Look at Pep, you think its easy to manage MC pia? 16 unbeaten games mpaka sasa with only 1 draw, na jana Spurs kala minne. Watizame wachezaji wao wanavocheza soka kwa passion, another thing lacking in MU.....

ukija suala la bodi hapo umekengeuka ndugu kwamba hawapo sirias huo ni uongo angalia thaman za wachezaji wanaonunuliwa utailaumu vipi bodi ndugu?
Mkuu, unahadaika na pesa ambazo bodi inaspend? 75m pound for LUKAKU? Real Madrid katika kipindi alichokuwa anasuasua alikuwa anaspend kiasi gani? The body makes money ndugu yangu from tshirt sales tu. If they know if we buy griezmann for 200 million pound, and we can sell his shirts and total profit reaching 500 million pound, why shouldnt we puta that money in griezman? The board is turning the players into investments mkuu.

SAF wasnt buying big names, and if we take SAF MU team vs MOU MU team, SAF team itaimaliza timu ya MOU. Uchezaji ule tulivocheza na man city?

zama za mwisho kipind sir alex anastaafu kuna baadhi ya wachezaj walikuwa tayar umr umekwenda hadi anaondoka hatukupata kiungo mkabaj had alimuomba scholes arud uwanjan leo mnalaumu mourinho kama ana miaka 3 kumbe wap

Ferguson alipokosa kiungo, kamuomba scholes arudi, MOU je? anapokosa wachezaji wa kupeleka mipira mbele kafanya nini?

ukiangalia ktk mapendekezo yake ya wachezaj safar hii kampata mmoja tu victor lakin wa 3 hakupata chukulia tu kampata perisic na greizman huoni kama alikuwa anatimiza lengo lake?

Mapendekezo yake wachezaji watatu unasema kampata Lindelof tu? Samahani, unatizama mpira lakini au unasikiliza maskani wanasemaje? Kwa sababu Pogba kachagua yeye, Lukaku pia kachagua yeye, hakuchaguliwa. Na MOU alikuwa anaitaka kazi MU kwa sababu anajua kuwa huchaguliwi wachezaji, unapewa budget umtaje unaemtaka. Unaponambia Lindelof pekee ndo chaguo lake nakua sielewi.... Lindeflop ambae yeye mwenyewe MOU anamueka bench.....

Tunasubiri January dirisha lifunguliwe, ndio tutajua kama MOU is serious ato challenge our rivals, au anasubiri kocha wa psg afukuzwe akake yeye
 
wakati wako wa kumtetea mourinho sasa ila ukweli unabaki pale pale team yenu inashinda lakini mchezo hauvutii kabisa

ni sawa na chelsea tu mkuu tunalazimika kuangalia kwa kuwa ni timu zetu zimepoteza wachezaj wapiganaji leo viungo ni lingard na bakayoko huoni kama utani huo?

hakuna tena wakina lampard wala scholes cha rooney wala drogba.
 
..Van Gaal alileta man u mpira wa kuvutia pasi nyingi hakuna kudefend mkamtimua.....man u fans hamna jema
 

Mkuu, Spanish team zinategemea sana kubebwa zikikutana na english team.... Ni mara ngapi Team za uko zimepata ushindi uingereza kwani?

Wengi wanampa kichwa city kuwa ndio title favorites, kwa sababu in last 16 kapangiwa basel, kisha kuna giants they face each other. Kabla ya round ya 16 kumbuka, title favorites walikuwa PSG, usishangae after robo ukatajiwa mwengine. Ila ikifika robo ndio tutajua nani ni favorite wa kuchukua kombe. Game ya PSG na mAdrid ikiisha ndio itatupa picha.....

Unajua kwanini siwezi kusema Man city anaweza kuchukua? Kwa sababu City hawezi kucheza pressure football against a team whose style is pressure, ukitizama game ya MU walivorudishiwa goli, tayari weakness ipo pale kuwa defensively, city are not good yet. Sasa timu kama Madrid, they can easily take on City, timu kama Barca ikikutana na Man city, Barca atapelekwa mchakamchaka, au Bayern, they can take on city, apart from them English teams can take on city.

Note kitu kimoja, kuna English teams zikiwa in Uefa sio sawa na zikicheza premier league.
 


dirisha la pili alihitaj wachezaj wa nne achana na usajili wa kwanza huyo lukaku hakuwa first choice yake yeye alimhitaj greizman,perisic,lindelof a nne ilikuwa siri yake hapo kampata mmoja tu huoni tayar program ishaharibikia? pia suala la kushambulia wamepita van gal na moyes ni striker yup waliemnunua wa kutufungia magoli?

ila kwa mourinho kumshambulia kwa soka la man city ni kumuonea sijawah kuona pep kazidiwa mpira


pia ukisema kuna timu ikija old traford inawaza kuondoka na point 3 hapo sikubaliani na ww kwa sasa rekod ya nyumban ipo vizur mno labda enz za moyes na van gal
 
..Van Gaal alileta man u mpira wa kuvutia pasi nyingi hakuna kudefend mkamtimua.....man u fans hamna jema
Mkuu, pasi nyingi kisha hakuna goli inafaida gani? mbona unataka kuleta jokes ndugu yangu, kweli kabisa uwe unacheza pasi tu, lakini goli hulioni. Faida yake nini? MU style is ATTACKING sio PASSING wala DEFENDING..... MC ya saivi imeizidi MU ya SAF kwa vitu viwili, ATTACKING and PASSING wakatu SAF alikuwa ATTACKING, lakini both teams defensively zipo vulnarable.


Mpira wa passing tu kisha ukawa hupati goli tutawaachie wengine.... tunataka ku attack tu sisi
 
Hakuna timu epl yenye uwezo wa kupambana na PSG,BARCELONA, BUYERN.....hata man city hana uwezo huo
 

Mkuu, kama umekosa ulomtaka inabidi huna plan B? umeneja gani sasa itkuwa huu kama huna plan b, ndo kama saiv Pogba akiwa nje tena tumekwisha.....

ila kwa mourinho kumshambulia kwa soka la man city ni kumuonea sijawah kuona pep kazidiwa mpira
Unajua kwanini watu wanamshambulia? kwa sababu anajua kama we must reduce the gap, and we can do that, but he limits the players

pia ukisema kuna timu ikija old traford inawaza kuondoka na point 3 hapo sikubaliani na ww kwa sasa rekod ya nyumban ipo vizur mno labda enz za moyes na van ga
Rekodi ipo nzuri, lakini timu zinafight, wakati zamani timu zinakuja kutafuta draw, saiv they believe they can snatch 3 points
 

Aisee! Una uthibitisho kwamba hayo uliyoyasema ndiyo washabiki wa United wanataka?

Mimi wala sitaki ulichokisema! Yaani Scousers ndiyo reference? Yaani United ijifunze vile Scousers wanafanya?

And you want United to make DVDs after smacking them scousers? Yaani ati United washangilie kuwafunga Scousers hata kama hawajachukua ubingwa!!

Bruv, that’s not how United does it.

I’m starting to doubt if you are truly a United supporter!
 
Hebu nijibu haya mswali.

Do you want to see Football passions in United players?

Do you want to see MU fighting to the last minute?

Do you want to see MU beating all the rivals?

Do you want MU not to fight after being 3 nil down?

Hebu nijibu haya masuali kisha ndio udoubt
 
pia ukisema kuna timu ikija old traford inawaza kuondoka na point 3 hapo sikubaliani na ww kwa sasa rekod ya nyumban ipo vizur mno labda enz za moyes na van gal

Huyu jamaa anashangaza! Yes, ni vizuri kuwa na mawazo tofauti, ila kama hayuko well informed. Anasahau José ame-tie longest unbeaten record at OT! Ni Shitty ndiyo wamezuia José kuweka rekodi mpya.
 
Do you want to see Football passions in United players?

Yes, but not learning from them Scousers.

Do you want to see MU fighting to the last minute?

That’s what United has being doung this season. Ndiyo maana wanaongoza kwa kuwa na more goals in the last 10 minutes of the games.

Do you want to see MU beating all the rivals?

Yes. So far United has beaten Goons and Spurs, list to Rebt Boys and Shitty, and drew with Scousers. That’s 7 out of 15 points in the 1st round. Not enough, but no need to be concerned, as we have a second round to take our revenge!

Do you want MU not to fight after being 3 nil down?

Why should United allow to be 3 nil down? I can’t see a José’s team being in such a situation. As a supporter, why do you even use that as a yardstick of measuring the team’s passion?

Hebu nijibu haya masuali kisha ndio udoubt

I still doubt you bruh!

Na wewe kutumia game dhidi ya Shitty kuthamini kazi ya José kunakufanya uonekane kama ‘hater’. I have never liked José as a football coach. But, I support him as he is the United’s boss now.

I wonder kama unakumbuka SAF alikula goli 6 OT dhidi ya Shitty ya ‘Why always me’. Sijui ile game nayo ‘uliichambua’ hivi na ku-question SAF’s managerial prowess?

Jambo la mwisho ambalo uwa nina tatizo nalo na football critics kama wewe. Unavyomkosoa José unatumia baseline info gani? Je, unatumia mechi tu unayoiona luninga ama? Hivi una uwezo gani wa kusema José anafanya sivyo, ilhali yeye ana all the baseline info, facilities na supporting staffs wanaowaona wachezaji almost on daily basis wakifanya mazoezi?

Ndiyo, kama shabiki inaeleweka kukosoa kwa kuwa pengine una kuwa na emotions zilizo driven na mapenzi yako kwa timu. Lakini, kuna ukosoaji mwingine, kama wako huu, unashangaza kwa kuwa unamkosoa mtu aliye way more informed kuhusu wachezaji, kuliko wewe. Ukosoaji wako ni as if nawe unawaona wachezaji on a daily basis.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…