Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo wavamiaji hatuwaoni humu roho zinawauma sana ila nilichokigundua herrera hawaendani na matic jana kawa sambamba na tuanzebe kacheza vizur mno
Hadi kwa muda huu najivunia kuona vijana toka academy yetu wakicheza na wakubwa

Hii itawapa nguvu wakina angel gomez kukaza wakiona wenzao wanapata nafasi.
 
Mkuu ni kweli hata mimi nimejaribubkuliona hilo harera na matic hakuna combination nzuri ila suala linakuja kwa muda huu felaini na pogba wapo majeruhi kwa timu kama spurs kweli kijana tuanzebe anaweza akahimili mikiki mikiki ya spurs???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…