Matic,pogba na herrera mtibuaji hawa wataifanya hiyo kazi vizur sana nna watu wa 4 wa mbio martial,rashford,mkhitaryan na lingard hapo lukaku anawazuia mabek kazaa wasipande mbele we acha kiungo mtibuaji mwingine fellain naiman kubwa na mourinho.
Mkuu hata kama uliicheki gemu ya arsenal pale pale kwenu nao walijitahid sana ni muda kocha wenu conte wa kuangalia mbinu zake upya arsenal walifika golini mara nyingi sana tofaut na nyie.