Manchester United (Red Devils) | Special Thread

MANCHESTER UNITED , REAL MADRID

Baada ya Manchester United kupata matatizo ya "Munich Air Disaster", Real Madrid ilikua timu ya kwanza kujitoa kujaribu kuisaidia kifedha na kutaka kuwatoa wachezaji wake wa tano akiwamo gwiji ALFREDO DI STEPHANO, Di Stephano alikua ndo Mchezaji bora kwa wakati huo huenda ukilinganisha na wakati huu labda wangemtoa Cristiano Ronaldo.

Kwa Miaka kadhaa kumekua na urafiki chanya baada ya tukio lile kiasi Man United waliwauzia Real Madrid wachezaji wake Wengi tu kwa Mfano beki Gabriel Heinze kwa ada ya Paundi 6M tu, Huku Liverpool walikua wanataka kutoa Zaidi ya Paundi 9M, David Beckham alipelekwa Real Madrid ilihali alishafanya mazungumzo binafsi na Barcelona, Ruud Van Nisterlooy tena aliondoka akiwa Mchezaji Muhimu kabisa ndani ya Manchester United, Javier Hernández "Chicharito" aliyepelekwa kwa Mkopo mwaka 2014 baada ya Forward line ya Real Madrid kuhitaji mtu wa kum-back up Karim Benzema,

Na ule Usajili Mkubwa wa Cristiano Ronaldo licha ya kwamba Uligharimu pesa ndefu lakini United ilimuachia kwa Roho safi kabisa

Maisha yalianza Kubadilika mara baada ya Real Madrid kumtaka Moja kati ya Makipa bora kabisa Duniani anayecheza Manchester United, I Mean David De Gea, Man United hawakutaka kumuuza na waliliweka hilo wazi, Ingawaje kulikua na Ushawishi mkubwa na pressure kubwa kutoka kwa De Gea mwenyewe lakini iko wazi kwamba Real Madrid Waliforce sana dili la De Gea.

Kuna kipindi ililipotiwa kwamba waliongea na wazazi wa De Gea waweze kumshawishi mwanao, wakamtumia hadi Mchumba wa De Gea mrembo Edurne ambae ni Mwanamuziki anayefanyia kazi zake pale kwenye Jiji la Madrid, hili lilifanikiwa kwa namna flani ingawaje De Gea alishaanza taratibu ku-develop Mapenzi yake kwa Man United tukasikie kuna kipindi alijaribu kuondoka, Ingawaje mambo yalienda sawa na Man United wakendelea kusisitiza Msimamo wao wa kutomuachia David kuna kipindi ilikaririwa kwamba Usasajili wa De Gea umekamilika Ila United wamecheelewesha kwa makusudi Fax ya De Gea kwenda Real Madrid na usajili ukashindwa kukamilika, kitu kilichoonekana ni ushindi kwa Man United na ni Loss kwa Real Madrid. Baada ya Porojo zote kupita David De Gea alisign mkataba mpya Ndani ya Manchester United, Mkataba wa Miaka 5

Maisha yakaendelea kwa Real Madrid kua kinara wa Club zote ndani ya Uwanja huku Manchester United ikipata mafanikio makubwa na kua kinara wa Club zote nje ya uwanja hasa kwenye swala la Promotion na Biashara na waka wapiku Real Madrid kama Club yenye thamani kubwa duniani kwa sasa.

Kuna kipindi Man United ilikosa mvuto kabisa hasa baada ya kuondoka kwa Sir Alex Ferguson, Hivyo ilihitaji Baadhi ya World class players kitendo kilichowafanya kugonga kwa Ndugu zao Real Madrid kuhitaji huduma ya Angel Di Maria, huyu Madrid walitaka Paundi 60M huku man u wakitaka kutoa 50M mazungumzo yalienda vizuri na Man U walikubali yaishe wakatoa Paundi 59.7M.

Baada ya miaka kadhaa Man United wakagonga hodi tena kwa Ndugu zao Real Madrid sasa hvi wakihitaji huduma ya Alvaro Morata na james Rodriguez ingawaje Jose Mourinho hakuthibitisha bid ya James. Kwa Morata Madrid walitaka Paundi 70M kwanza Man United wakatoa Paundi 60M, ikakataliwa na huku mazungumzo yakiendelea Madrid walipandisha na kutaka Paundi 79M huku man u wakiishia Paundi 65M dili ikagoma kwani Real Madrid na Frolentino Perez wao walikua na kisasi kwenye Ishu ya De Gea. Man United kuamua kumgeukia Lukaku waliemnunua kwa £75M ambayo United walikua radhi kuipa Madrid kwenye Usajili wa Morata.

Kwa James Rodriguez, Real Madrid hawakuonesha nia ya kumuuza moja kwa moja kama United walivokua wanataka na wakampeleka kwa mkopo Bayern Munich na wanauwezo wa kumnunua Paundi 35M tu ila sidhani kama hii ndo bei ambayo Man United wangeambiwa. Club ya Chelsea ilifikia makubaliano na Real Madrid kwenye usajili wa Alvaro Morata kwa £75M, bei ambayo Man United walikua radhi kulipa kabla hawajapandishiwa.

Huu ni muendelezo wa Ushindani, Ujeuri na Kukomoana unaoendelea baina ya timu hizi huenda De Gea alitaka anataka kwenda Real Madrid, Morata alikua anataka kwenda Man United ila kutokana na Ujeuri unaoendelea baina ya timu hizi Mbili Uhamisho wao Ulikwama.
 
Nimekuelewa Mkuu, ila Pereira km sijakosea sio mkabaji per sei ila anacheza sehemu nyingi..mfano msimu uliopita alikuwa Granada kwa mkopo na alicheza km winger na alikimbiza vizuri sana...na sshv amepewa no 11 na Valencia i hope atakuwa anacheza kwny right position yake..

Ugiligili
 
Najaribu kuwaza tuu Kwa saut ivi mou hawez kuja kutuacha kama alivyozoea akibeba vikombe anasepa? Anaweza kuwa Wa kudumu kama farg

Sent using Jamii Forums mobile app

alisema anapenda kukaa miaka 15 zaidi hata usajili wake sio wa vipindi vifupi wengi kawachukua chini ya miaka 24 ukiacha matic na mkhitaryan + zlatan wakat hapo kuna pereirra,tuanzebe,angel gomez,mensah na mctominay katika hizo nafasi ni vijana wanaoendelezwa na Jose Mourinho.
 

Mkuu Bado Mapema! Oh! By The Way... Hii ni EPL na sio La Liga!! Unaweza Ukamfunga Chelsea, Liverpool, Man City, Spurs na Arsena, Lakini ukaja Ukafungwa na Swansea...
 
mkuu nimejikuta nacheka tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marcus Rashford’s temperament is his biggest quality, insists Phil Neville

Phil Neville hailed Marcus Rashford as a ‘superstar’ following his match-winning performance for England against Slovakia and says the striker’s temparement is his biggest quality.

Rashford was at fault for Slovakia’s opening goal but he assisted Eric Dier to level the match and scored the winner in the second half.

And Neville believes Mourinho has got a ‘gem’ on his hands with Rashford because the striker has the right mentality to reach the top.

Neville names Rashford's biggest quality after match-winning England performance
Rashford bagged his second England goal against Slovakia
‘His biggest quality is his temperament,’ Neville told BBC 5Live.

‘He never looks flustered, he can miss a chance and never looks flustered.

‘He’s improving every time I see him. He’s getting stronger, he’s getting fitter and I just think we’ve got an absolute gem on our hands.
Rashford burst onto the scene in the final months of Louis van Gaal’s reign at Old Trafford and has emerged as a crucial figure under Mourinho at the Theatre of Dreams.


The teenager’s rapid rise to fame certainly could have gone to his head but Neville says Rashford remains down to earth.

‘He’s got brilliant technique and the best thing about him is he’s got his feet on the ground.

‘He goes and watches his mates play on a Sunday, goes out on the streets playing football with his mates.

‘He doesn’t really post things on Instagram or Twitter that you think ‘he’s getting carried away things’

‘I just think if you’re managing Marcus Rashford at the moment, you’ve got a little superstar.
 
Huyu Neville ni genius wa uchambuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…