Jamaa kasema tuu kama mdau mmoja hapo juu kuwa alisainiwa ili kuja kufanya mambo kama ya kina Scholes bt hajatimiza matarajio ya mashabiki. Akaongeza kuwa mtu kama scholes hakuwa selfish. Alikuwa mwepesi katika utoaji wa pass. Japo ni usajiri mzuri anatakiwa abadilike.