Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Baada ya kumueka Martial awazungushe tena

Sent From Heaven
Kwani martial c yupo sub au unavyotaka wewe iwe ndivyo hivyo hivyo? Unataka martial aanze ili acheze dakika zote 90 au ukimuanzisha akichemka utamuingiza nani? Au ebu toa first eleven uliyoitaka iwe?

Today
 
Manchester United.
 

Attachments

  • IMG_20170808_210512.jpg
    IMG_20170808_210512.jpg
    69.2 KB · Views: 33
  • IMG_20170808_210503.jpg
    IMG_20170808_210503.jpg
    57 KB · Views: 32
  • IMG_20170808_210508.jpg
    IMG_20170808_210508.jpg
    71.7 KB · Views: 33
Kwani martial c yupo sub au unavyotaka wewe iwe ndivyo hivyo hivyo? Unataka martial aanze ili acheze dakika zote 90 au ukimuanzisha akichemka utamuingiza nani? Au ebu toa first eleven uliyoitaka iwe?

Today
Huna tofauti na uliyemquote wote mmetoa mawezo yenu na mko sahihi relax wakuu tusubiri mechi. GGMUTD
 
Huna tofauti na uliyemquote wote mmetoa mawezo yenu na mko sahihi relax wakuu tusubiri mechi. GGMUTD
Me sipendagi mtu kulialia kabla ya mpira, ndio maana kuna sub then mpira ni dakika 90 na hakuna limit ya muda wa kufanya sub sasa unalia lia kuwa fulani hajaanza fulani sijui nini ata mpira haujaanza ni kuvunjana moyo. Mbona CR7 yupo sub na ni mchezaji bora dunia. Kuanza kwa mchezaji kunategemea na mbinu alizoziandaa kocha anazotaka kuzitumia. Ni kweli tunapaswa kuwa watulivu maana inatakiwa ukimtoa mtu basi anaeingia awe hai zaidi ya aliyetoka

Today
 
Back
Top Bottom