Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jana nimeangalia marudia ya mechi kati ya Man United na Barcelona, nilichogundua Manchester wanahitaji kujaza nafasi hizi au wachezaji wa aina hii.
1- Beki namba 3 mwenyekasi maana Blind na Damian sio namba 3 hasilia.
2- Wapate mchezaji mwenye uwezo binafsi wakati timu imeshindwa kupenya ngome ya team pinzani mfano kwa sasa wapate mchezaji kama 1- Neymar 2- Sanchez 3- Messi 4- Harzad au wachezaji wanafanana kama hao timu itakuwa ime balance sana.
Hayo ndio maoni yangu kwa nilivyangalia hiyo mechi.
 
Sanches na Hazard siyo wa hiyo kaliba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sanches na Hazard siyo wa hiyo kaliba

Sent using Jamii Forums mobile app

hata angetaja msuva au kichuya bado angekuwa sahihi,hakumaanisha level,alimaanisha mchezaji ambae anauwezo binafsi kuamua matokeo kwa uwezo binafsi,jambo ambalo limefanywa mara nyingi tu na sanchez pamoja na havard ktk timu zao
 
Kweli mkuu na winga mmoja matata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…