Kama mechi 15 tulizotoa sare tungelishinda leo Tungelikuwa mabingwa wa EPL.
Yaani kimahesabu ni kama ifuatavyo:-
15x2 + 69 = 99
Chelsea tungelimpita kwa pointi
99 - 83 = 16
Kusajiliwa kwa Griezmann na wengineo kutatuhakikishia ubingwa mwakani bila zengwe kabisa