Kipindi icho nilikuwa natambaa so about mpira sikujua nao naenjoy. Kwenu imebaki historia. Sisi current juzi tulimkodishia leceister city wameirudisha kwa mwenyewe. Rahaaa sana kubeba ndoo la epl.
Kipindi icho nilikuwa natambaa so about mpira sikujua nao naenjoy. Kwenu imebaki historia. Sisi current juzi tulimkodishia leceister city wameirudisha kwa mwenyewe. Rahaaa sana kubeba ndoo la epl.
[HASHTAG]#HapaAjaxTu[/HASHTAG]. ..lazima mcheze Europa hakuna namna sasa ..mourinho msimu ujao hatupo naye UEFA, na hata akiingia hatafanya la maana. Mapema sana kwenye makundi atapitishwa hivi. Timu mbovu haina ushindani, timu imekuwa ya option sasa iv
mnalazimisha kwenda uefa wakati wachezaji hawaja andaliwa kushiriki. Hahaha mtapotea tuu. Ngoja Ajax atamwonesha mou namna timu inavotakiwa icheze hahaha