Baada Ya Mechi Yenu na Chelsea Tulipojaribu KuwaQuote Mulitufokea Sana!
Lakini Leo Nadhani Mumeona Madhara Ya Kuhadalika na "FALSE PERFORMANCE"....
Hile Performance Waliyoionesha Man U dhidi ya Chelsea ilikua sio Real Performance bali ni False Performance ambayo ilikuwa ni Ya Kukamia Gemu tu....
Lakini sasahivi ikowapi Performance ile muliyoOverrated Wachezaji Wenu??