Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yani ajax akipita na sisi tukiingia fainal naona kabsa mwali akitua home
 
Niliiona hii habari nikajikuta nashindwa kuafiki kama ni nzuri ama mbaya...huyu mtoto wa schmeichel nimzuri lakini daah kutoka kuwa na De Gea hadi kwa Kasper....
hata de gea alianza kama kasper pale OT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…