Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hawa washenzi hapa walikua wanashangilia man city alivotupokonya kombe 2012 kama vile wameshinda champions league.

But good news ni kwamba our own player ndio kawashusha daraja.
Nini hatima ya Januzay?
 
Juan Mata is back
Karbu the special Juan,,, tunahitaji umaridad wako kwa kipindi hiki kigumu,,, ila im sorry wakuu hivi yle mata wa chelsea na combnation yake ya hazard na oscar alishawah kuonekana akiwa utd?? au tim yetu bado ina wachezaj wa kawaida sana?? kuna game walifanya nikaacha mpira ukiwa half time,, though tulshinda 3-2 ila kwa ubabe wa SAF tu
 
Kwanini mkuu? Hapo ni pa kuchukua 6pts every season!
usijali mkuu kuhusu points sita Newcastle imeshapanda tayari ndio wamebadilishana na hawa wapuuzi,

Nakumbuka ile siku wachezaji waliumia sana, hasa kitendo cha mashabiki wa blunderland kufurahi na kushangilia goli la aguero kama vile wao ndio wamechukua, Rooney kwenye press aliongea kwamba wamesikitishwa sana na wachezaji wameumia mno kwa walichokifanya hawa blunderland kuliko hata city kuchukua ubingwa.
Nini hatima ya Januzay?
Kama mwezi mmoja uliopita jose aliwahi ongelea suala la januzaj alisema hatma yake ilisha amuliwa zamani, so sioni kama ataendelea kuwa mchezaji wa manchester, more likely atauzwa tu mwishoni mwa msimu,

Granada nao wameshuka daraja sasa sijajua kuhusu perreira kama atapelekwa kwa mkopo timu nyingine au atarudishwa.
 
Swansea XI vs. Man Utd: Fabianski; Naughton, Mawson, Fernandez, Kingsley; Carroll, Britton, Ki; Ayew, Llorente, Sigurdsson.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…