Sahihi kabisa,na nadhani leo ni Match ya Fellain na Herera pale kati wakisaidiana na Carrick katika nafasi ya kiungo.
Martial atatokea Banch,Martial ni attacking winger mzuri lakini sio mkabaji ndio kitu kinachomuweka Banch kwenye game muhimu kama hizi,so Lingard ana nafasi kubwa ya kuanza leo,Mick.
DO YOU REMEMBER THIS?
The last time we played City on a Thursday in the Premier League was in November 1994, with United winning 5-0 thanks to an Andrei Kanchelskis hat-trick.
Le XI pour affronter Man City: De Gea, Valencia, Blind, Bailly, Darmian; Carrick, Herrera, Fellaini; Mkhitaryan, Martial, Rashford. [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG]