Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuchezesha viungo wawili katikati tutakua tumejichimbia shimo. Nadhani Herrera-Carrick-Fella watafaa zaidi kukimbizana na pasi za City.
Sahihi kabisa,na nadhani leo ni Match ya Fellain na Herera pale kati wakisaidiana na Carrick katika nafasi ya kiungo.

Martial atatokea Banch,Martial ni attacking winger mzuri lakini sio mkabaji ndio kitu kinachomuweka Banch kwenye game muhimu kama hizi,so Lingard ana nafasi kubwa ya kuanza leo,Mick.
 
Yeah bado hajaonyesha thamani yake,lakini hajafikia hata nusu ya uwezo wake alipokuwa Juve.

Anatakiwa kupambana na kuonyesha thamani yake,mchango wake ni mdogo sana Mkuu,hata facts za kutisha.

Unaweza kuniletea stats akiwa juve na sasa hivi?
 
DO YOU REMEMBER THIS?
The last time we played City on a Thursday in the Premier League was in November 1994, with United winning 5-0 thanks to an Andrei Kanchelskis hat-trick.
 
Le XI pour affronter Man City: De Gea, Valencia, Blind, Bailly, Darmian; Carrick, Herrera, Fellaini; Mkhitaryan, Martial, Rashford. [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG]
 
CITY XI | Bravo, Zabaleta, Kompany (C), Otamendi, Kolarov, Fernandinho, Yaya Toure, Sterling, De Bruyne, Sane, Aguero [HASHTAG]#cityvutd[/HASHTAG] [HASHTAG]#mcfc[/HASHTAG]
 
CITY XI | Bravo, Zabaleta, Kompany (C), Otamendi, Kolarov, Fernandinho, Yaya Toure, Sterling, De Bruyne, Sane, Aguero [HASHTAG]#cityvutd[/HASHTAG] [HASHTAG]#mcfc[/HASHTAG]
Guardiola amejiamini nini kuanzisha attacking ya watu wa 4 tena soft kabsa tunaenda kuwaua tukiwazidi ndo bathi tena hao kukaba tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…