Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fellaini sasa ni kifaa muhimu musimu huu kesha cheza mechi 41 kwa mashindano ya aina zote Manutd kacheza na jinsi majeruhi wanavyozidi atacheza zaidi na kusaidia top four finish kupatikana
 
Tangia wasikie tunamsaka kumsajili Antoine Griezmann hawa ManCity nao eti wanamhitaji
 
Everlenk Mpira siyo kama unavyodhania . Kumfunga chelsea goli 2 haimanishi kufungwa n.a. Spurs. Unajua ukiweka mahaba kwenye timu fulani lazima utoke n.a. aibu n.a. ndo iliyowatokea washabiki wote wa manure, Arsenal na looserfool. Hawa wote wanajua mziki wa Chelsea. By the way naamini hata ukikutana na Chelsea Leo humfungi tena. Labda ukishinda draw. Tukutanane next season leo huna chako Fa Cup n.a. Epl.
 
mashabiki wa arsenal ni maadui wakubwa sana wa Tottenham, mechi yoyote ambayo Tottenham anacheza lazima wawe upande tofauti, haijalishi ni Chelsea, Manchester, liverpool, Bayern, Bvb, madrid au Barcelona.

Actually mechi ya jana mashabiki wa arsenal walikua chelsea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…