Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo itakuwa ni siku ya furaha kwa kila mshabiki/mfuasi/mnazi/mpenzi wa Man Utd

Leo itakuwa ni siku ya kwanza Man Utd kuchukua ubingwa msimu huu, YES nimesema siku ya kwanza maana msimu huu kutakuwa na siku kama hii ya leo {Kuchukuwa Makombe}

GGMU
 
Afadhali Ilikuwa ni Offside, walifunga goli

Man Utd 0 Southampton 0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…