Manchester United (Red Devils) | Special Thread



epl tatu 2014/15 pia angalia kila nchi alizotia maguu msimu wa kwanza au pili lazina kuna kombe kitu ambacho klop kachemka had sasa mou yupo fainali ya culling cup now mungu akisaidia ndoo ya pili baada ya ngao ya jamii klop ni mdogo sana kwa mou ktk miaka 16 ya ukocha vikombe havizid vi 5 pima mwenyewe anafaa?
 


na ktk thread iliyo na viewers wengi ni hii na inakimbia balaa hii ndo thread inayotembelewa na watu kwa wingi hapo ni kwamba ndo ukubwa wenyewe huo.

waache waje kwa wingi tunakaribisha ndo kipind chao cha kutoa dukuduku zao zilizopo moyoni wamepigwa sana.
 
Ok that's gud, relegation battle Manchester endapo kesho itashinda itakua point moja nyuma ya tittle contender looserfool
 
Tukishinda kesho tutakua point 1 nyuma wa wazee wa next year, 2 points nyuma ya arsenal

Tuna watford na Bournemouth nyumbani wakati huo huo loserfool watakutana na Mr bean
 
Dah pobga huwa akicheza huwa sina amani kabisa, naimani kesho tutashinda
 
Wakuu za mida?

Pls kokote Wenger atakapo onekana anatakiwa kuripoti kituo cha kati bila kukosa

Cc: [HASHTAG]#PaulMakonda[/HASHTAG] [HASHTAG]#KamandaSirro[/HASHTAG]



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…