Tatizo Fella hawezi kwenda na rythm ya mechi. Uwezi kumuweka Herrera benchi ukamuamzisha Fella.
Kuhusu Height kuna Ibra,Pogba,Jones wote hao wanaweza kutumia hizo set pieces vzuri.
mkuu mbona game ya kwanza wakat manchester united alipokuwa anakuja kwenu uliongea mnaenda kutufunga ina maana liverpool ilikuwa na wazaliwa na hukusubilia dakika 90 leo kuna nini?
Mkuu Timu Yangu ilikuwa ipo Vizuri! Lakini Sasahivi Naijua Performance Ya Timu Yangu ilivo....
Na Ndomana Mpaka Sasa Siongei Kitu! Bali Some amount/Percentage Ya Hope Ya Kuwa Timu badala ya Kutarajia Kiwango matoeko Yake ikatumia Uliverpool na Uman U nikapata Positive result....
Ingawa Munajiamini Sana leo Kutokana na Ubora wa Timu Yenu na Udhaifu wa Timu Yetu! Lakini Musisahau Kuwa Hii ji Derb... Liverpool Munafahamu Fika Kuwa Sumu Yake ni "RELEGATORS/VIBONDE" sio Big Teams....
Jifunze KuQuote Kimantiki na Sio Kijazba... Nilichokiongelea Mimi Ni Tofauti na Unachokieleza!
Wachechaji (Younsters) Waliotoka Academy hata Liverpool Wapo lakini Sikuchukua Kama ni Criteria Ya Derby...
Hivi Katika Lgends Wanaofatilia Huu Mchezo Waweza Mchukua Lingard Kuwa ni Provocation Yoyote?
Jifunze KuQuote Kimantiki na Sio Kijazba... Nilichokiongelea Mimi Ni Tofauti na Unachokieleza!
Wachechaji (Younsters) Waliotoka Academy hata Liverpool Wapo lakini Sikuchukua Kama ni Criteria Ya Derby...
Hivi Katika Lgends Wanaofatilia Huu Mchezo Waweza Mchukua Lingard Kuwa ni Provocation Yoyote?