Manchester United (Red Devils) | Special Thread

This place should always be scary. DM na LVG walipageuza na kupafanya pawe kama Kunduchi Wet n Wild water park.
Now watu wataanza kuja wakiwa na wasiwasi mwingi.
Yaah hakuna beach ya serikali hapo ni kulipia tu ndio maana unaona mandhali inapendeza
 
Ulishawai kuona shetani likipanda jogoo linavyochinjika ata kwa meno"??? Karibu O.T sisi ni WWWWWWWW tu "ata washushe Gerald,Torres, Hypia, ,suarez.....wanachinjikaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…