Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah 13 anaefuata ana 4? Acha utd iendelee kuchukiwa na wapinzani
Hizo 13 zilipatikana kwa ajiri ya uwepo wa yule mzee wa kiscotland, sasa hivi si hayupo? subiri uone drought kama ya liverpool huu tunaenda mwaka wa nne.
 
Hizo 13 zilipatikana kwa ajiri ya uwepo wa yule mzee wa kiscotland, sasa hivi si hayupo? subiri uone drought kama ya liverpool huu tunaenda mwaka wa nne.
Mwaka wa nne unapata la kuongea? Wakati kuna watu wanakaribia 30, na wengine wanenda kwenye 20 huko.
 
Michael Carrick misses today's game through illness. [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG] [HASHTAG]#MUNMID[/HASHTAG]
 
Nilidhani herrera angecheza 6 then mata aingie kumi kaanza big fella tena? Doo haya ngoja tusubiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…