↑↑ Hizo Timu ulizozikusudia Kama vile:
Chelsea
Liverpool
Arsenal
Man City
Spurs
May be na Everton
Kwamba Zitacheza Wao Kwa Wao na Kupungazana Points ili wewe usonge mbele! Nadhani Umesahau Kuwa Na wewe pia utacheza Nazo na Kupunguza Points....
Kwahiyo Ufahamu tu Kuwa "HAZITOPUNGUZANA POINTS" bali Sisi Pamoja na Wewe "TUTAPUNGUZANA POINTS"...