Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yeah kweli,kipindi cha pili mou alitakiwa kufanya sub mapema!tayari kati palianza kuelemewa kutokana na mipira yote ikifika kwa pogba au zlatan inapotea,carrick na herrera wakawa wameanza kuzidiwa,mata alitakiwa mapema akaongeze nguvu!
Na dalili zilianza kuonekana mapema ila mou alipuuzia
 
Big Fella haitaji mtetezi yeye anapiga shughuli yake uwanjani ni chaguo la kocha wetu The Spesho One BTW tuna allergy na game za w'end ngojeni muone balaa letu kwenye YUROPA tunawakandamiza LORIA FC mpaka wajute.
GGMU.
Nimecheka sana.......


Eti LORIA FC..
 
I miss these moments...

Dah.. Ngoja nilale tu sad!


 
Leo angetoka hata Pogba aingie Blind/Mata kwa mtazamo wangu leo pogba hakua mchezoni
Huwa Pogba sio mzuri akicheza namba 10, mech nyingi sana naona huwa hachez vizuri akipewa role ya namba 10. Dah ila inauma sana. GGMU
 
Leo angetoka hata Pogba aingie Blind/Mata kwa mtazamo wangu leo pogba hakua mchezoni
Huwezi kumchezesha pogba namba 10, kwa kweli huu ni ujinga na ilisha shindikana, kwa nini asi muingize mata!!? Kwa mfumo wa 4-2-3-1, Pogba angeweza kucheza 10 at least kama tuna tumia 4-3-3 ambapo awe ana cheza na mtu kama Pirlo au Carrick, hivi kweli kocha kama Mourinho hakufikilia jambo kama hili ambalo hata mimi naweza kufikilia!!?
This guy is finished hamna kitu hapo.

Inakera
 


Nacheka kwa maskitiko, halafu kuna watu wanasema eti timu ime improve!.
Wacha wayaone wenyewe
 
Huyo pogba ndio mchawi wetu,kama unaangalia kwa umakini anakosa umakini sana na anapenda sana kucheza mpira ili aonekane sio kucheza kwa nafasi au kitimu zaidi
 
Kitu ambacho Mourinho anakosea anashindwa kubalika katika soccer la kisasa ni bora harudi darasani ukasome upya
 
Mou mbinu zimemuishia toka alivyofukuzwa Madrid, mkuu Mou anatupeleka shimoni, mtu atakaeweza kutuokoa i think ni Diego Simeon.
Haiwezekani unamuacha Shwerztieger nyumbani alafu unamchukua Fellain, akiri ya Mou inawaza mpira wa kujilinda zaidi badala ya kushambulia
 
Ningekua mshauri wa mourinho,ningemshauri fella asiingie kwenye penalty box yetu,hata kama tunashambuliwa,asubirie mipira inayoyoka nje ya box ndo aicheze. Hii si coincidence kila mara niyeye tu
Nafikiri Fellain angetolewa bure kwenda kwa ile club ya Brazil iliyopoteza wachezaji kwenye ajari ya ndege, free transfer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…