Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ngoja nione na nyinyi mtakavyocheza. Naomba Mungu mkaushwe kama lilivyokaushwa bwawa.
 
Man Utd XI: De Gea; Valencia, Jones, Rojo, Darmian; Carrick (c), Herrera; Mkhitaryan, Pogba, Martial; Ibrahimovic

subs: Romero, Bailly, Blind, Fellaini,
Mata, Lingard, Rashford

Kikosi cha leo,

Ukiondoa Mata kukaa Benchi nashindwa kulalamika kwa uwepo wa Mikh.

Rojo na Johns wanamtego leo, wanakilasababu ya kuonyesha kuwa wanastahili kutangulia Mbele ya Blind maana naona mwenye nafasi (Baily) keshapona na anawaangalia kwa karibu.

Martial ninaimani naye siku zote, naona anarudi taratibu, Rashford ni kweli anastahili kupumzika, katumika sana tena kwenye mechi ngumu mfululizo.

Nafurahi leo yuko Mzee mzima Carrick wakiungana na Hererra, Pogba ushindi hauko mbali...

Lets go... GGMU GGMU GGMU
 
Go go Man u...wale waliopitiwa na gridi ya taifa umeme bado haujarudi tho
 
Go go Man u...wale waliopitiwa na gridi ya taifa umeme bado haujarudi tho
Doh! Poleni nilijua Tanzania ya Magufuli ni ya neema: umeme wa kumwaga, maji yakutosha n.k.
[HASHTAG]#justsaying[/HASHTAG] [HASHTAG]#letsdothisunited[/HASHTAG]
 
Nitafurahia sana ushindi Leo, sare zilizopita zimetosha.
 
Marefa wana kisa na United...Barry alipaswa kuwa yellow carded kwa foul dhidi ya Ibra...kanawa mpira kwa makusudu, kaachwa tena...

BTW, Rojo's two-footed tackle ilikuwa red card bookable offense. Thanks to Oliver's mediocre refeering, Rojo got lucky...
 

Mkuu vipi mpira wa leo . ........ naona marefa mnao khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Vipi hamjampata mrithi wa Mike Dean?
 

Rojo alitakiwa aondoke(Nakupa heko kwa hilo) lakini nashangaa kwa nini unalalamika kwaa Barry kutopewa Yellow? Hii ni perfect example ya Everything balanced itself out at some stage. Anyway, Barry kashapewa Yellow sekunde chache ago.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…