Nimeongea maadui wa man u soma vzr utaelewa nnachosisitiza shabiki wa man u anatakiwa ajiamni awe na subra timu iko vzr na itakaa vzr coordination inaanza kuonekana just tuwape time mpk dec tutakuwa bora xaidi ya hv
Kutoa wakongwe wote kosa lbda atoke mmoja kati yao nilichojifunza ibra na rooney hawatakiwi kukaba sana kuminyana ndio maana wanachoka mmoja wao atakiwa awe goal gotter tu
Man u inasumbuliwa na kasumba mbili haters (ukawa) ja mashabiki maandazi ambao week ya wanamponda ibra kuwa hafai lkn leo watamuona ndio mfalme ni bora uwe ukawa kuliko shabiki maandazi in utd we trust ggmu..
Kutoa wakongwe wote kosa lbda atoke mmoja kati yao nilichojifunza ibra na rooney hawatakiwi kukaba sana kuminyana ndio maana wanachoka mmoja wao atakiwa awe goal gotter tu