Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Luke Show hayuko vizuri kabisa,

Halafu kwakweli sivutiwi na mpango wa Mou kumchezesha Pogba namba kumi.. anampa presha za bure hasa kwenye mechi kama hii.
 
Leo humu huambulii kitu nenda kawape pole wanalondon wenzako
 
Luke Show hayuko vizuri kabisa,

Halafu kwakweli sivutiwi na mpango wa Mou kumchezesha Pogba namba kumi.. anampa presha za bure hasa kwenye mechi kama hii.
Unataka nani acheze kushoto wakati Baily ameumia Rojo na Blind wamerudi kucheza kati
 
United hawajaweka hata kinda mmoja si benchi si first XI. Kweli jana sio leo. Mourinho wa juzi (at Chelsea) alikuwa anawapa makinda wachache katika mechi kama hizi.
 
Unataka nani acheze kushoto wakati Baily ameumia Rojo na Blind wamerudi kucheza kati

Uelewa ni kitu adimu sana kwa Wabongo,

Wapi nimesema nataka fulani acheze nafasi ya Show? Nilivhozungumzia ni performance yake kwa mechi hii ya leo hususani dakika hizi alizoveza.
 
United hawajaweka hata kinda mmoja si benchi si first XI. Kweli jana sio leo. Mourinho wa juzi (at Chelsea) alikuwa anawapa makinda wachache katika mechi kama hizi.
Mhhh!!! Rashford hujamuona ?
United hawajaweka hata kinda mmoja si benchi si first XI. Kweli jana sio leo. Mourinho wa juzi (at Chelsea) alikuwa anawapa makinda wachache katika mechi kama hizi.
 
United hawajaweka hata kinda mmoja si benchi si first XI. Kweli jana sio leo. Mourinho wa juzi (at Chelsea) alikuwa anawapa makinda wachache katika mechi kama hizi.
Acha propaganda Jose huwa hafanyi unachozungumza na ni muwazi kwenye hilo
 
Acha propaganda Jose huwa hafanyi unachozungumza na ni muwazi kwenye hilo

Alipokuwa Chelsea alikuwa anatoa nafasi kwa wachezaji kama 1hadi 3 on the first XI or bench.
 
Uelewa ni kitu adimu sana kwa Wabongo,

Wapi nimesema nataka fulani acheze nafasi ya Show? Nilivhozungumzia ni performance yake kwa mechi hii ya leo hususani dakika hizi alizoveza.
Shaw alivunjika hakucheza almost last season na mwezi uliopita aliumia tena hii ndio game ya kwanza anacheza tangu arudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…