Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu mi nili m quote kunguru mjanja kwenye ile link yake ya kwamba mou kamuambia rooney kuwa anaweza kuenda nilipofungua ile link ndio nikakutana na the sun, (nikamjibu mkuu bado unasoma the sun?) hyo inayohusu maisha ya mou jijini manchester kaiweka explore na sijamjibu kitu maana nimeisoma sehemu nyingi tofauti na hyo mirror.

Nadhani hapa ulishindwa kuelewa ni habari gani niliyo ishit kati ya hyo mou kumuambia rooney aondoke au maisha ya mou jijini
 
Kwann asitafute house aishi, like Pep. anang'ang'ana na nn hotelini???
 
Kwa mimi nachoona humu wengi sometimes hatutaki kusikia negative news zinazohusisha timu tuzipendazo kitu ambacho si sawa. Tujaribu kuwa objective sababu hizi timu zinaendeshwa na binadamu kama sisi sio mashine.
Don't get me wrong blood! Ninachokipinga ni wewe kuleta hizo news kwa kutumia magazeti ya udaku...sensationalism kwenye tabloids ni extreme for the sake pf getting readership and not otherwise. So they do anything to get that. I don't mind hearing negative news! I get that all the times when United loses!

Unaamini kuna binadamu aliye objective? Objectivity is overrated and romanticised blood..
 
Nzi, herrera nasubiri siku mtakavyo quote some positive news about Man Utd kutoka kwa hivyo vyanzo (media) mnavyovipiga madongo. Na nina uhakika itakuwa very sooner. I think Manchester United will win tonight.
 
Nzi, herrera nasubiri siku mtakavyo quote some positive news about Man Utd kutoka kwa hivyo vyanzo (media) mnavyovipiga madongo. Na nina uhakika itakuwa very sooner. I think Manchester United will win tonight.
Utasubiri sana, haswa kutoka kwangu...I don't quote tabloids
 
Nzi, herrera nasubiri siku mtakavyo quote some positive news about Man Utd kutoka kwa hivyo vyanzo (media) mnavyovipiga madongo. Na nina uhakika itakuwa very sooner. I think Manchester United will win tonight .
Thanks, but hutakuja kuniona nimeweka habari toka
The sun
Daily star
Mirror
Express
Metro etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…