Dah performance ya Paul pogba inazidi kudorora kadri siku zinavyosonga mbele. Arguably mourinho is the one to blame for this. Man! I feel so sorry for the lad.
Dah performance ya Paul pogba inazidi kudorora kadri siku zinavyosonga mbele. Arguably mourinho is the one to blame for this. Man! I feel so sorry for the lad.
Dah performance ya Paul pogba inazidi kudorora kadri siku zinavyosonga mbele. Arguably mourinho is the one to blame for this. Man! I feel so sorry for the lad.
Kitendo cha mourinho kumpanga kama holding midfielder kinaonekana kutozaa matunda na badala yake kimekupunguza confidence na kuongeza presha kwa pogba (jamaa kasema ana-feel more confident and relaxed kama akichezeshwa wing ya kushoto as an attacking midfielder). Hilo jinamizi la ku-struggle kwenye levo ya klabu limemuandama jamaa mpaka timu ya taifa. (Jamaa confidence imepungua sana). Refer Paul pogba's performance against Bulgaria on his national duties.
Kitendo cha mourinho kumpanga kama holding midfielder kinaonekana kutozaa matunda na badala yake kimekupunguza confidence na kuongeza presha kwa pogba (jamaa kasema ana-feel more confident and relaxed kama akichezeshwa wing ya kushoto as an attacking midfielder). Hilo jinamizi la ku-struggle kwenye levo ya klabu limemuandama jamaa mpaka timu ya taifa. (Jamaa confidence imepungua sana). Refer Paul pogba's performance against Bulgaria on his national duties.
Kitendo cha mourinho kumpanga kama holding midfielder kinaonekana kutozaa matunda na badala yake kimekupunguza confidence na kuongeza presha kwa pogba (jamaa kasema ana-feel more confident and relaxed kama akichezeshwa wing ya kushoto as an attacking midfielder). Hilo jinamizi la ku-struggle kwenye levo ya klabu limemuandama jamaa mpaka timu ya taifa. (Jamaa confidence imepungua sana). Refer Paul pogba's performance against Bulgaria on his national duties.
Kwani pogba anacheza kama holding midfield??? Pogba anapangwa kama namba nane na anacheza kama box-to-box yupo kote kwenye ku defend na ku attack!!! Search kwenye youtube interview yake na thiery henry utamskia alichosema!!!
Pogba anakiwango na kusema kashuka nadhan unakisea